Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wadau kutokana nauzoefu niliopataka katika biashara ya kupanda miti. Ni nzuri zaid watu wakajiunda kwenye kundi then wakanunua Shamba nakupanda. Nirahic kwenye management nainaitaji mtaji mdogo...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Habari zenu? Nahitaji Asali halisi (original honey) ambayo haijawa haijachakachuliwa iwe ya nyuki wa kubwa hata wadogo itanifaa pia. Nahitaji kununua lita moja ila kuna uwezekano wa kuhitaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kujua heka moja inatoa gunia ngapi za shairi???? Na je bei ya shairi kwa sasa sokoni ni shilingi ngapi kwa gunia??? Pia bei ya kitunguu saumu sokoni ni shilingi ngapi kwa gunia...
0 Reactions
19 Replies
7K Views
Habari wana JF! Nafikiri wengi tutakuwa tumeona katika maeneo mengi ya nchi hii watu wakusanya vyuma chakavu na plastiki kwa ajili ya kurecycle na kutengeneza vitu vilivyo bora zaidi...
2 Reactions
24 Replies
26K Views
nimelima mpunga huko katavi mpanda ekari kama 10 pia ninataraji kununua mpunga ili nihifadhi bei ikipanda nauza lkn juzi nilikuwa naongea na jamaa yangu mmoja akaniambia kuwa kuna uwezekano...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Niko mkoani Iringa, naomba kufahamishwa wapi nitapata mashine tajwa hapo juu kwa ajili ya kutotolesha mayai. Ninahitaji automatic, electronic. Nahitaji kitu genuine na cha uhakika. Mbwembwe sitaki
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kwa mwenye kuhitaji tufanye biashara ani PM!
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Serikali ya kibongo sijui ni lini itamthamini mkulima. Wana JF nimepima zali la kulima ufuta ila nashukuru Mungu anasaidia unaendelea vizuri. Ila mashaka yangu ni bei tu sijui itakuaje mwaka huu.
1 Reactions
14 Replies
7K Views
Incubator Yenye Uwezo Wa Kutotolesha Mayai 48 Inauzwa Mkoani Geita ... Bei Ni Sh. 350000/= Tu ... Kwa Yeyote Atakayehitaji Wasiliana Nasi Kupitia Simu Namba : 0766922108 au 0656721710
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Shalom wakuu. Naomba kuuliza juu ya mbegu za matikiti. Nimeelezwa kwa ufupi sana juu ya mbegu inayoitwa "Mwananchi". Nimeambiwa inakubali sana maeneo ya mto Ruvu. Naomba nipewe darasa juu ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Vifaranga vya kuku wa kienyeji vinauzwa, tupo Kinyerezi.
0 Reactions
21 Replies
7K Views
wasalaaam! Ndugu zangu nilikuwa naomba wenye uelewa na Hii biashara ya kufuga Mbwa haswa German shepherd na Doberman kwa ajili ya SECURITY inaweza kulipa......
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuku wapo Bunju, wako 300 unayehitaji nicheki kwenye 0788684574
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Sabakher Wadau, Nina Mbwa wangu dume mamfuga mchana namfungia usiku namuachia nikitegemea analinda kumbe anaenda kufukuzia majike sasa naomba njia ya kumdhibit? Nawasilisha.
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Wizara ya Kilimo,Mifugo na uvuvi imeahidi kuichukua changamoto ya Magadi Chumvi kwenye mashamba ya mpunga kuwa tatizo la kitaifa linalotakiwa kuingizwa kwenye mipango na sera za kitaifa na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari zenu wadau. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, nahitaji mbegu za stafeli, komamanga na topetope. Natanguliza shukrani.
2 Reactions
18 Replies
10K Views
Wakuu, Naomba mnijuze kwa mnavyofahamu kuku chotara maana huwa nasikia tu ila sijawahi kuwaona.Naomba msaada juu ya ufugaji wake, chakula chake je wanakula chakula gani , utagaji wake, bei ya...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Kichwa cha habari chaeleza anahitajika mnunuzi wa tikiti shamba lipo Mlandizi JKT. Mawasiliano: 0719666099/0784321716
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanaukumbi Natamani kufanya biashara mtaji ninao kama million 20 , lakini nashindwa kupata wazo la biashara ambayo itanilipa. Naomba mawazo yenu.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wadau naomba mbinu na maelezo ya kilimo cha ufuta. Nataka nianze kulima msimu ujao huko nanjilinji Asanteni.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Back
Top Bottom