malela.nc JF-Expert Member Joined Nov 24, 2013 Posts 260 Reaction score 350 May 21, 2016 #1 Habari zenu, nlikuwa naomba kujuzwa kwa mwenye ufahamu juu yq maabara za mifugo kwa hapa Dar, mahali zilipo. Natanguliza shukran zangu
Habari zenu, nlikuwa naomba kujuzwa kwa mwenye ufahamu juu yq maabara za mifugo kwa hapa Dar, mahali zilipo. Natanguliza shukran zangu
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,109 Reaction score 53,626 May 22, 2016 #2 Nenda wizara ya mifugo pale Tazara Vetenari na sample ya chakula chako watakuangalizia. Sikumbuki gharama halisi ila ni kati ya 10,000 na 30,000 itategemea unataka kuangalia nini.
Nenda wizara ya mifugo pale Tazara Vetenari na sample ya chakula chako watakuangalizia. Sikumbuki gharama halisi ila ni kati ya 10,000 na 30,000 itategemea unataka kuangalia nini.