Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Wakuu naombeni mnisaidie utaratibu wa kuweza kupata trademark ya logo yangu pale Brela.kwa mtu yeyote anaweza kuniambia procedure za kupata trademark maana nimeenda brela naona wananizingua tu
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Wakuu nahitaji kujua njia ya kisasa au yoyote ile ya kutunza maziwa Fresh ya ng'ombe kienyeji bila kuharibika. msaada tafadhali
1 Reactions
2 Replies
7K Views
Habari zenu wakuu, naomba kupata muuongozo juu ya swala lifuatalo, shambani kwangu nimefunga mfumo wa umwagiliaji kwenye hekari moja na makusudio yangu ilikuwa ni kupanda tikitimaji ila niliingia...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Wanajamvi Habari za mihangaiko ya kupambana na maisha. Naomba msaada wa taarifa ninapoweza kupata drippers kwa ajili ya Kilimo cha bustani eneo la ekari mbili
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu ninahitaji kuku wanaotaga mayai zaidi ya moja kwa Siku,kuna mtu alinipa contact lakini nikapoteza simu.
2 Reactions
12 Replies
8K Views
Wakuu nataka kufanya ujasiliamali wa kilimo , ila sina mwenyeji ruvu nataka kuanza na kukodi shamba ili nilime tikiti maji na mboga mboga any idea zitakazosaidia , Contact za mwenyeji yoyote kule...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau naombeni mnipe mustakabali naitaji kufanya ujasiriamali wa kilimo , Ruvu ni sehemu watu wanalima sana hasa hizi mboga mboga na matikikti je kuna mtu anaweza nipa contact za mwenyeji mmoja...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Hello... Khabar zenu wapendwa.. Nina shamba la ecre nne lipo bagamoyo.. Maji yake yanafika magotini.. Je linafaa kwa kilimo cha mpunga??.. Na je... Ni mbegu gan nitumie??..
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu nimefarijika sana kutembelea site hii ya business! Mimi nimekuwa natembelea sana jukwaa la siasa na lazima niseme ukweli ilifika kipindi nikaachana na jamii forums. Leo nimefarijika sana...
0 Reactions
17 Replies
9K Views
Ninaomba mtu anayejua kuhusu hili zao anipe details zote kuhusu ili zao kama misimu capital faida challenges na kama eneo la Ruvu linafaa kwa hiki kilimo, madawa n.k kwasababu ningependa kufanya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wana JF; Habari ya asubuhi kama ilivyo heading hapo juu; mimi ni mfugaji wa samaki kwa kutumia ndimbwi la samaki hapa nyumbani; kwa bahati mbaya kwenye dimbwi hilo la samaki vyura wameingia na...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wadau, Salaam, Naomba msaada wa jinsi ya kupata vifaranga vya kuku wa mayai. Mimi nipo Dar Es Salaam, natanguliza shukrani za dhati.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Moja ya kitu kinachohitajika sana na wakazi wa mijini na vijijini ni mboga za majani (green vegetables) kama chinese, figili, mchicha, mnafu, mboga za maboga, matembele nk. Mboga za majani...
5 Reactions
5 Replies
28K Views
Habari ndg wanajamiiforum, Nani anapajua Kitomindo vizuri? Na je mazao gani yanastawi maeneo yale kando mto Ruvu? Mwenye idea anieleze jamani nimechoka kukaa town naangaika na ajira za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mashirika yaliyochini ya mwamvuli wa mtandao wa AgriProFocus, yanaandaa Jukwaa la vijana lenye lengo ya kuhamashisha vijana kuingia kwenye kilimo biashara kwa kuwakutanisha na fursa mbalimbali...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wadau, Nashukuru Mungu aliniwezesha kupa shamba la ekari 20 maeneo ya mtibwa morogoro. Kwa muda wa miaka 5 nimekuwa nikilima Kilimo cha kutegemea mvua niliwahi kupata mwaka juzi tu mazao...
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Za asubuhi ndugu zangu, natumaini mmeamka salama, Mimi ni kijana wa kiume nahitaji ushauri wa kitaalamu kuhusu kilimo nahisi ndo kitu ambacho kitanifanya nifikie malengo yangu, nimeajiriwa lakini...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kilimo Cha Tikiti. Je unataka kujitunza kuhusu kilimo cha matikiti? wasiliana nasi kwenye Whatsapp namba 0683556677 Kwa ada ya shilingi elfu mbili tu uweze kuunganishwa kwenye group. Kumbuka ada...
2 Reactions
2 Replies
8K Views
Wakuu habari Kwa anaehitaji shamba kwa ajili ya kupanda miti mkoani iringa wilaya ya mufindi mashamba yapo yanapatikana kwa bei 130000 mpaka 120000 kwa ekari moja kutokana na eneo shamba...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu habari ya leo, Naomba anayejua au aliyenavyo vitabu vya kilimo cha. -kitunguu -nyanya chungu -Pili pili Anielekeze vinakopatikana au ani PM tuongee Biashara kama anavyo
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom