Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari wanajukwaa ,mi ninatafuta mbengu aina mbalimbali za mazao kama Mbengu za maboga bamia choroko kunde zile nene pilipili mbuzi nyanya za kienyeji mchicha aina ya supalishe nyeupe na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naombeni mawazo na ushauri wenu, mimi sio mtaalam wa kilimo nimekuwa nalima kienyeji kwa muda sasa, lakini sijapata faida ya kilimo kama ninavyosikia kwamba kilimo kinalipa kama wengi...
3 Reactions
35 Replies
13K Views
Unasimu? Unatumia simu? matumizi yako ya vocha yanazidi au kukaribia 10,000 kwa mwezi? Je umejiuliza ni kiasi gani umeichangia mitandao ya simu? imewahi kukulipa hata sent moja? jibu ni...
2 Reactions
47 Replies
7K Views
Habari wanajf, nahitaji kufanya biashara ya kutengeneza na kuuza chaki naombeni kujuzwa chochote mnachofahamu kuhusu biashara hii. Natanguliza shukurani zangu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu mwana JF.Habari hii ni njema sana. Katika hoteli ya Canivore Arusha tarehe 9 na 10 mwezi wa 4 kutakuwa na mafunzo mazito yatakayotolewa na ENKISUMA TRUST FUND.Mafunzo haya ni ya ujasiriamali...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mafenesi yamekuwa dili Dar kila hatua mbili kuna kitoroli wanachambua na kuweka kwenye vikombe vya plastic yaelekea biashara nzuri. Ila kama vile usafi tatizo wenye u juzi watujuze
0 Reactions
1 Replies
2K Views
We ni mfugaji na una swali lolote la kitaalamu linakutatiza uliza. Asante.
2 Reactions
64 Replies
12K Views
Habari za majukumu. Naamini kila mmoja anafanya vyema. Ni kiasi kinafaa kwa kuanza kilimo cha mboga kuanzia mbegu hadi madawa hadi kuvuna. Nahitaji kuanza kilimo cha mbogamboga. Bado sijapata...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana JF kama critical thinkers naomba msaada wenu Ninataka kuchukua mkopo wa sh milion 25 benk ambao marejesho yake yatakua ni kupitia kukatwa katika mshahara kwa kipindi cha miaka mitatu. Tatizo...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Wakuu, Nina Shamba langu lenye ekari 40 maeneo ya mkuranga, Ninataka kusafisha jumla ya ekari 10 ili niweze kujenga mabanda ya mifugo na kupanda mazao machache. Ninaomba msaada mwenye kujua wapi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau wafugaji salamu zenu. Kuna mtu anahitaji kupata mayai ya kisasa kila siku trei 10. Kwa mwenye uwezo anitaarifu tafadhali. Mhitaji yupo Dar es salaam Kimara.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wadau ni matumaini yangu mmeamka salama na mnaendelea kulijenga Taifa. Naomba msaada wenu kwa anayefahamu ni utaratibu upi unahitajika ili kuruhusiwa kuingiza mayai nchini toka nje ya Tanzania...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari wadau. Naomba niulize kati ya kampuni hizi mbili yaani Selcom na Max malipo, ni ipi ina commission nzuri katika miamala yake? Na je zote zinafanya kazi sawa au kuna moja inazidi mwenzake?
0 Reactions
6 Replies
9K Views
Bilionea wa kibongo kupitia taasisi yake pamoja na kampuni binafsi inaitwa Darecha Ltd(micro venture capital firm) wameanzisha shindano la idea za biashara kutoka kwa kampuni/sole traders...
0 Reactions
71 Replies
7K Views
Habari wataalam, nina kuku naisi kawa kipofu gafla ila ana vidonda vyovyote kwenye macho sijui ugonjwa gan umemkuta na mm sio mtaalam kabsa haya mambo, naombeni msaada wa haraka maana kuku...
0 Reactions
0 Replies
740 Views
Habarini wajasiriamali. Niende Kwenye mada Kabisa. Mimi ni mwalimu kijana Mdogo, Na ni Mchanga Katika kazi ambaye sijatimiza Hata mwaka Mmoja kazini hapa Bagamoyo. Pamoja na majukumu na...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
DEO AGRO COMPANY Ni kampuni mpya ambayo inajihusisha na mambo ya kilimo, kwa sasa imeanza na kilimo cha cha mbogamboga na matunda, kwa kua ndio imeanza imekodi hekari sita kwa miaka mitatu na...
1 Reactions
31 Replies
5K Views
NIMELIMA MATIKITI HEKA 3 NATAFUTA WATEJA WA JUMLA ANAYEHITAJI ANICHEKI NO 0657723172
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Jamani msione vyaelea, kuna njia rahisi ya kuwafanya kuku au ndege wako waonekane wamenenepa, ila ukishikwa juu yako. Hii hila ni kutoka nchi fulani
0 Reactions
6 Replies
15K Views
Heshima kwenu wanandugu Nina shamba nataka nioteshe yale maembe na mapapai ya kisasa yanayozaa yakiwa chini kabisa ila naomba kufahamu 1~Ukubwa wa mashimo 2 aina ya mbolea ya kuoteshea 3Huzaa...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Back
Top Bottom