Habarini wana Jf, Napenda kuwakribisha watu wote ambao wanahitaji kupimiwa viwanja vyao kwa gharama nafuu ili kuongeza thamani ya viwanja vyao, kwa yeyote aliye atakaye hitaji tafadhali aniPM...
Wana jamvi,
Hebu tulitazame na tulijadili jambo hili, mwaka huu nilifanikiwa kulima kama eka 2 za mpunga, na nimefanikiwa kuvuna gunia zangu 50.
Sasa wakati nasafirisha mazao yangu hayo kutoa...
Nataka nianze ufugaji wa kuku wa kienyeji mwakani ntakapo maliza elimu yangu.
Je naanzaje anzaje na mtaji upi unahitajika katika kufuga kuku wa kienyeji pia malezi yao yanakuaje
Habari wanaJF,
Naomba mwenye experience na usafirishaji wa mazao kwa kukodi gari ni shiling ngapi mfano toka Morogoro kwenda Dar?
Na pia inawezekana kusafirisha mazao kama matikiti fuso nzima...
NJIA YA KUWA NA MAISHA BORA
Njia moja ya uhakika ya kuwa na maisha bora ni kuyaelewa maisha kwanza. Bila ya kufanya hivyo utateseka sana na maisha haya.
Bila ya kuelewa maisha kila mara utasema...
Habari watu wa jamii forums, katika kuperuzi mitandao nikaona kwenye mtandao wa youtube ufugaji wa kuku wa kisasa kwa kuwaweka kwenye cage, yaani ufugaji huu ni wa ufanisi wa juu kweli.
Hata kuku...
Habar ndugu wana jamii,
Naombeni mawazo yenu nahtaj kuanza kilimo cha matikiti maji kule mikese Morogoro, mwezi huu wa sita! Nifanye nini ili niweze kufanikisha malengo yangu
Msaada jamani
Tips to getting more eggs from your chickens
So you think your chicken aren’t laying well? Maybe they’re not. Laying eggs is a daylight sensitive business. Commercial egg production uses...
Mimi ni mdau wa kilimo, naomba mwenye uelewa na kama picha ipo tupia hapa, lengo la kuanzisha maada ni kurahisisha kupatikana kwa taarifa muhimu kuhusu water pump hivyo inaweza kuhamasisha vijana...
Wakuu nimefarijika sana kutembelea site hii ya kilimo! Mimi nimekuwa natembelea sana jukwaa la siasa na lazima niseme ukweli ilifika kipindi nikaachana na jamii forums.
Leo nimefarijika sana...
GHARAMA ZA UENDESHAJI WA GARI - APRIL 2012.
Watu wengi wemekuwa na mtazamo kwamba gharama ya uendeshaji wa gari linapotembea ni mafuta yanayotumika tu.
Gharama za uendeshaji wa gari...
Ndugu wanajamvi nimekuja kwenu naombeni msaada wa jinsi ya kuchanganya chakula cha kuku wa nyama kwani napata shida sana kutoka kwa wauzaji kutokana na bei zao kuwa juu mara kwa mara.
Ndugu zangu naomba mnisaidie kama mnawajua vijana wachapa kazi wanaoweza kufanya kazi ya palizi kwenye shamba langu la nanasi ambalo lipo Bagamoyo, Fukayosi. Nahitaji kufanya palizi kabla ya mvua...
Habari za leo wana jamvi,
Mamlaka ya Hali ya Hewa imetoa tamko/ kama sio tangazo la kuwepo kwa mvua nyingi sana kwa kipindi hichi cha Vuli kinachokuja, nadhani ni Oct - Dec flani hivi... Sasa Nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.