Habari za leo wadau wa JF..
Kwanza niwape pongezi wadau wote kwa ushirikiano na michango yenu mnayoitoa kila siku. Nilikuwa naomba kuuliza kama kuna mdau yeyote anawafahamu watu ambao...
Inakuaje bibi kule kijijini asiyejua kusoma wala kuandika anaweza kufuga ng’ombe na kuku kuliko ‘msomi’ mwenye digrii ya mifugo anayelia njaa na hajui nini cha kufanya?
Inakuwaje mmachinga darasa...
Ndugu wanajamvi naomba msaada wenu nimepata mkoponwa Tsh Milion10 na ninataka kufanya biashara na kuweza kurudisha iyonpesa haraka.
Je nifanye biashara gani ambayo itaniingizia fedha za alaka...
Kwanza habari zenu wanajamvi
Kiufupi mim ni kijana baye nimeajiriwa na kwa sasa nalipwa kama laki 2 kama takehom yangu sasa kwa jinsi maisha yanavyokwenda nahisi laki hizobhazinitoshelezi kufikia...
Habari wataalam wa kilimo..
Naomba msaada kwa mwenye utaalam wa kuchora mifereji kwa ajili ya kumwagilia shamba...
Nipo mkuranga pwani..
Mwenye uzoefu tuwasiliane ntamlipa..
Habari zenu wakuu wote!
Mimi ni kijana wa kiume mwaminifu, mtulivu na mwenye kujituma nimemaliza mwaka jana chuo (2015), bachelor degree of science in food science and technology nipo kwenye...
Habari za jioni ndugu zangu,mimi ni kijana wa kiume naishi arusha,naomba ufafanuzi juu ya kilimo cha matikiti maji,naomba kujua mfumo sahihi wa kilimo hichi,gharama zake,ardhi na hali ya hewa...
Habari Wataalam
Nampango wa kuanzisha mradi wa kuku wa kienyeji hasa nikijikita kwa mazingira nilionayo. Ila nilitamani kufuga angalau kitaalamu, sio ili mradi nimewaweka tu nyumbani.
Kwa wale...
Wana jamvi nilikua nina shida ya kupata elimu kamili ya kuku wa kisasa wa mayai na sehemu naweza kupata mbegu bora ya hao kuku iliyo imara
Na kama kuna thread yoyote ya kunisadia zaidi nitashukuru
Jinsi ya kuandaa viota vya kuku
Kuku anapotagia porini, mayai huliwa na wanyama kama vile nyoka na wengineo. Kuku pia anaweza kudhuriwa na wanyama hao na wakati mwingine kuibwa.
Viota ni mahali...
Mimi ni wakala wa m pesa ninaye fanyia kazi zangu maeneo ya kariakoo, nina fanya sana biashara cha ajabu siku zinavyozidi kwenda wateja wanaongezeka ila commision inazidi kupungua, ni kitu cha...
Wadau naomba ushauri kwani sasa naandaa shamba kwaajili ya kulima matikiti zipo ni mbegu nzuri na tahadhari zake naomba msaada wenu wa mawazo nimeamua kujiajiri katika kilimo. Pia nimeona...
Wakuu Habarini za majukumu?
Husika na kichwa cha habari hapo juu, wakuu ningependa kujuzwa bei stahiki za ufuta ama soko lake kwa kuuza kwa jumla Dar es Salaam.
Natanguliza shukrani zangu za...
Hatua zipi za kuzingatia ukitaka kufuga kuku wa kienyejihabari wana bodi, nimekuwa mfugaji kwa siku za hivi karibuni, hata hivyo nimepata changamoto ya kifo kwa ng'ombe mmoja alionyesha dalili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.