mbwadinho Senior Member Joined Jun 29, 2016 Posts 180 Reaction score 102 Jul 1, 2016 #1 Vifaranga wangu wanavimba vichwa sehemu za jicho kwa mwenye utaalam anisaidie huu no ugonjwa gani na tiba yake ni ipi
Vifaranga wangu wanavimba vichwa sehemu za jicho kwa mwenye utaalam anisaidie huu no ugonjwa gani na tiba yake ni ipi
Ngalikihinja JF-Expert Member Joined Sep 1, 2009 Posts 34,637 Reaction score 38,010 Jul 1, 2016 #2 mbwadinho said: Vifaranga wangu wanavimba vichwa sehemu za jicho kwa mwenye utaalam anisaidie huu no ugonjwa gani na tiba yake ni ipi Click to expand... Mi siyo mtaalamu ila ningeshauri useme kama ni vifaranga wa kuku, bata au ndege wengine
mbwadinho said: Vifaranga wangu wanavimba vichwa sehemu za jicho kwa mwenye utaalam anisaidie huu no ugonjwa gani na tiba yake ni ipi Click to expand... Mi siyo mtaalamu ila ningeshauri useme kama ni vifaranga wa kuku, bata au ndege wengine
mbwadinho Senior Member Joined Jun 29, 2016 Posts 180 Reaction score 102 Jul 1, 2016 Thread starter #3 Wa kuku mkuu
ALF JF-Expert Member Joined Apr 17, 2011 Posts 207 Reaction score 140 Jul 1, 2016 #4 Nafikiri itakuiwa ni upungufu wa Vitamins , nakushauri Beba mmoja peleka kwenye duka la madawa ya mifugo, utapata msaada.
Nafikiri itakuiwa ni upungufu wa Vitamins , nakushauri Beba mmoja peleka kwenye duka la madawa ya mifugo, utapata msaada.
eligi karoli Member Joined Jun 10, 2016 Posts 57 Reaction score 14 Jul 1, 2016 #5 Wape vitunguu saumu wote naamin tatz litaisha
eligi karoli Member Joined Jun 10, 2016 Posts 57 Reaction score 14 Jul 1, 2016 #6 Pia twang twang kiasi tena uchanganye kweny chakula chao then WAP watakua good Mkuu but wawahi mapema
Pia twang twang kiasi tena uchanganye kweny chakula chao then WAP watakua good Mkuu but wawahi mapema