Msaaada wadau

Msaaada wadau

mbwadinho

Senior Member
Joined
Jun 29, 2016
Posts
180
Reaction score
102
Vifaranga wangu wanavimba vichwa sehemu za jicho kwa mwenye utaalam anisaidie huu no ugonjwa gani na tiba yake ni ipi
 
Vifaranga wangu wanavimba vichwa sehemu za jicho kwa mwenye utaalam anisaidie huu no ugonjwa gani na tiba yake ni ipi
Mi siyo mtaalamu ila ningeshauri useme kama ni vifaranga wa kuku, bata au ndege wengine
 
Nafikiri itakuiwa ni upungufu wa Vitamins , nakushauri Beba mmoja peleka kwenye duka la madawa ya mifugo, utapata msaada.
 
Pia twang twang kiasi tena uchanganye kweny chakula chao then WAP watakua good Mkuu but wawahi mapema
 
Back
Top Bottom