Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Ninaomba mtu anayejua kuhusu hili zao anipe details zote kuhusu ili zao kama misimu capital faida challenges na kama eneo la Ruvu linafaa kwa hiki kilimo, madawa n.k kwasababu ningependa kufanya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wana JF; Habari ya asubuhi kama ilivyo heading hapo juu; mimi ni mfugaji wa samaki kwa kutumia ndimbwi la samaki hapa nyumbani; kwa bahati mbaya kwenye dimbwi hilo la samaki vyura wameingia na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
  • Redirect
Hello comrades Naomba ushauri kwa yeyote mwenye utaalamu au uzoefu wa hiki kilimo Baada ya kuona fursa kwenye kilimo cha vitunguu swaumu, nilishawishika kuanza kulima. Baada ya uchunguzi wa...
1 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Wadau mwenye utaalamu na ufugaji wa ndege (bata kienyeji) tupeane utaalamu huo!
0 Reactions
Replies
Views
Wadau, Salaam, Naomba msaada wa jinsi ya kupata vifaranga vya kuku wa mayai. Mimi nipo Dar Es Salaam, natanguliza shukrani za dhati.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Redirect
Wadau nahitaji kuwafahamu kwa undani hawa kuku aina ya kuchi maaana wanauzwa ghali sana.nahitaji kufahamu jinsi ya kuwafuga na soko lake Likoje?
0 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Habari zenu. Jamani kama kuna mkulima wa nyanya za green house au kuna anayejua mkulima wa nyanya izo naomba tuwasiliane kwa PM. Nipo Dsm. Asanteni
0 Reactions
Replies
Views
Moja ya kitu kinachohitajika sana na wakazi wa mijini na vijijini ni mboga za majani (green vegetables) kama chinese, figili, mchicha, mnafu, mboga za maboga, matembele nk. Mboga za majani...
5 Reactions
5 Replies
27K Views
  • Redirect
Kwa kuwa nna uzoefu wa kuendesha mradi wa nguruwe kwa mafanikio,watu wengi huulizia watoto wa nguruwe(piglets) kwa ajili ya kuanza mradi huo.Lakini hiyo sio namna nzuri kiuchumi.Namna sahihi kama...
4 Reactions
Replies
Views
Habari ndg wanajamiiforum, Nani anapajua Kitomindo vizuri? Na je mazao gani yanastawi maeneo yale kando mto Ruvu? Mwenye idea anieleze jamani nimechoka kukaa town naangaika na ajira za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mashirika yaliyochini ya mwamvuli wa mtandao wa AgriProFocus, yanaandaa Jukwaa la vijana lenye lengo ya kuhamashisha vijana kuingia kwenye kilimo biashara kwa kuwakutanisha na fursa mbalimbali...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau, Nashukuru Mungu aliniwezesha kupa shamba la ekari 20 maeneo ya mtibwa morogoro. Kwa muda wa miaka 5 nimekuwa nikilima Kilimo cha kutegemea mvua niliwahi kupata mwaka juzi tu mazao...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Za asubuhi ndugu zangu, natumaini mmeamka salama, Mimi ni kijana wa kiume nahitaji ushauri wa kitaalamu kuhusu kilimo nahisi ndo kitu ambacho kitanifanya nifikie malengo yangu, nimeajiriwa lakini...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wana jukwaa mimi naomba mwenye experiences na soko la zao la matikiti mwezi saba au wa nane hua liko vipi hasa kwa miji kama Dar Morogoro au Dodoma. Kwa mwenye kujua naomba msaada wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
  • Redirect
Kama kichwa kinavyojieleza, naomba tuwasiliane kwa namba hii 0629141259
0 Reactions
Replies
Views
Kilimo Cha Tikiti. Je unataka kujitunza kuhusu kilimo cha matikiti? wasiliana nasi kwenye Whatsapp namba 0683556677 Kwa ada ya shilingi elfu mbili tu uweze kuunganishwa kwenye group. Kumbuka ada...
2 Reactions
2 Replies
7K Views
Habari wakuu, Nahitaji majogoo wa kisasa ili wapande kuku wa kienyeji kupata vifaranga chotara. Kwa mwenye nao hasa maeneo ya Mwanza anijulishe tafadhali ili niweze kununua kutoka kwake.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu habari Kwa anaehitaji shamba kwa ajili ya kupanda miti mkoani iringa wilaya ya mufindi mashamba yapo yanapatikana kwa bei 130000 mpaka 120000 kwa ekari moja kutokana na eneo shamba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habari ya leo, Naomba anayejua au aliyenavyo vitabu vya kilimo cha. -kitunguu -nyanya chungu -Pili pili Anielekeze vinakopatikana au ani PM tuongee Biashara kama anavyo
0 Reactions
2 Replies
2K Views
1. Majogoo ya Mbegu. 2. Vifaranga wa Mwezi mmoja. 3. Vifaraga wa wiki tatu. 4. Vifaranga wa wiki mbili. 5. Vifaranga wa siku moja wanapatikana kwa order. Kuku wote wamechanjwa na bei...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
Back
Top Bottom