Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habari za leo, Natarajia kupanda hili zao, ningependa kujua changamoto zake na soko lake likoje. Asanteni
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mtu anakufuata anaomba msaada wa kujikwamua kiuchumi. Unamuuliza unao uwezo wa kufanya nini wewe mwenyewe tena vizuri. Anajibu chochote. Nalikataa hilo jibu namwambia chochote si jibu sahihi...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wadau wa kilimo na ufugaji, Naombeni msaada wa ushauri juu ya nini cha kufanya kwa kuku wangu wa mayai. Wameanza kutaga takriban miezi mine iliyopita. ukubwa wa mayai umekuwa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu, Ninahitaji tractor kwa ajili ya kilimo. Je, Aina gani ni imara ? Na Je, ni kampuni gani naweza kutumia kuagiza nje? Nitashukuru kwa msaada
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Jamani baada ya kuona maisha ya mshahara ni majanga tuu, nikaamua kujiongeza nifanye ujasiriamali. Nikapata wazo, na hili wazo nimelipata baada ya kusoma sana post za hapa JF kuhusu ujasiriamali...
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Habar za jioni ndugu zangu, Mimi ni kijana nahitaji kujua jinsi ya kuweza kupata eneo maeneo yanayozunguka rufiji. Natakiwa nianzie wapi? Je, ni kweli hawa jamaa wanaweza wakakupa eneo, na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Salaam, Nahitaji kuanza biashara ya kuuza nyanya, hoho, vitunguu, karoti, tangawizi na vitu kama hivyo.. Nachohitaj zaid kujua ni bei za mazao hayo sokoni kwa jumla.. Na kama naweza pata toka...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habarini wajasiriamali wenzangu, naomba kujulishwa kama kuna uwezekano wa kupata shamba la kukodi ruvu. Asanteni kwa msaada wenu.
0 Reactions
49 Replies
15K Views
Naomba msaada wa mawazo. Nimenunua shamba eneo ambalo nimefanya utafiti nikagundua underground water iko karibu sana. Mpango wangu ni kuchimba kusima kwa ajili ya kufanya irrigation farming...
0 Reactions
12 Replies
10K Views
MIKUNDE KWA FAIDA KIBIASHARA, AFYA NA UTUNZAJI ARDHI Utangulizi.... Je unafahamu mimea jamii ya mikunde? Je unadhani kuna aina ngapi za mimea jamii ya mikunde ukiachana na mbaaazi, Dengu...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba kuuliza anayefahamu kuhusu soka la soya Maana kijijini huku tunauza kilo 1000|= Naomba anayefahamu bei toka kwa makampuni ambao ni wanunuzi wa soya
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimejitahidi kumaliza panya hawa lakini naona inakuwa KAZI ngumu sana, kwani wanakula mazao chini kwa chini unachokuja shtuka ni mmea unadondo tu. Ufumbuzi tafadhali. Natamani nipate mlinzi wa...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
HAKUNA anayeweza kubisha kwamba maisha bila kujishughulisha ni magumu sana. Wakati mwingine wapo ambao wanautengeneza ugumu kwa kutopenda kujishughulisha. Wao ni tegemezi kwa kila kitu, yaani bila...
4 Reactions
6 Replies
3K Views
Si kazi ya wanawake tu kama ilivyozoeleka hapo awali, bali ni kwa msaka pesa yeyote aliye serious na kazi yake. Nilihudhuria mara kadhaa ktk semina za fani hiyo pamoja na vinginevyo, na baada ya...
3 Reactions
3 Replies
5K Views
Poleni na mapambano na mikikimiki ya uzalishaji kama ilivyo utamaduni wa wanajukuaa hili( ijapokua kule Japan mtu anayapambana haambiwi pole bali anaambiwa pambana au kazana) Naomba kujulishwa...
1 Reactions
6 Replies
6K Views
Ndugu wanajamii, nimeshawishiwa mara nyingi na rfiki zangu ili niingie kwenye biashara ya forever living lakini kila nikijaribu kufanya uchunguzi sipati picha kati ya namna biashara inavyoendeshwa...
1 Reactions
24 Replies
20K Views
Naomba kwa anayejua anifahamishe! Uwa wananza kutaga kwa muda gani.. Na kuku mmoja anataga mayai mangapi kwa siku!... Pia kuhusu chanjo zao dhidi ya magonjwa!.. Msaada wana JF.
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari za Leo wanabodi? Ninaamini JF ni kisima cha utaalam. Ninaomba kueleweshwa namna ya kuanzisha kilimo cha greenhouse. Pia gharama zake, upatikanaji wa vifaa na pembejeo kwa hapa Tanzania...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba msaada wa jins gan ya kulima maind
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau mnaofahamu hatua za kufuata ktk kupimisha ardhi mnijuze kwani nina ekali 6 za shamba nahitaji zipimwe. Kama mnafahamu gharama zake pia nijuzeni.
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Back
Top Bottom