Kama heading inavyosema hapo juu, katila pita zangu nilikutana na simu ya samsung grand prime plus. Awali ilinivutia kwa mwonekano wake.
Ila nikaamua kuzama mtandaoni kuona specs zake ndo nikaona...
Habarini za usiku wadau,
Tafadhali naomba kuelekezwa kama kuna sehem kwa hapa DSM wanatoa short course ya graphic designing na video editing na bei yake ikoje?
Natanguliza shukran na niwatakie...
Habari jamani nmeletewa Kazi ya kuresize passport size iwe katika KB4 naombeeni msaada program itafanya Kazi kwenye computer kama ikishindikana hata kwa simu
Naskia kuna MICROMEDIA FIREWORK 8...
Habari za Leo wana JF
Naomba kusaidiwa kuifungua SIMU yangu aina ya Vodafone 200
Imeandika kwenye screen maandishi haya hapa chini
SIM network unlock PUK
Naomba msaada wenu wataalamu...
Wakuu habari za jioni
Naomba kwa wenye uelewa na mambo ya computer wanisaidie katika hili
Nina pc yangu aina ya lenovo G50 inatatizo
1.kuwaka inasumbua yani ukiiwasha inakuandikia jina la...
Habari wadau naona simu yangu haipatani kabisa na IOS 10 maana at first nilipoaupdate to iOS 10 music app iliacha kufanya kazi ila juzi nimefix tatizo hilo kwa kuupdate to iOS 10.2.1 ikaanza...
Wakuu habar zenu,nasomea automobile engineering naomba kufahamishwa ninunue laptop yenye uwezo gani na brand gani ambayo itakidhi shughuli zote za masomo yangu.Nina bajeti ya 400000/= na kama...
habari za mda huu wapendwa
kama thread inavyojieleza hapo juu jaman mm ni mjasilia mali wa kuingiza nyimbo kwenye simu na libraly hapa mkoan kwetu sasa kuna mteja kaniletea memory card ili...
Msaada kwa anaye fahamu namna ya kutoa pesa ulizotumiwa kutoka mitandao mingine kwa njia ya SMS ambapo unapata sms uende kwa wakala wa M Pesa ndan ya siku saba
Salaam wana bodi.
Kama mada inavyojieleza hapo juu.
Nimekuwa natumia JamiiForums App niliyoipakuwa toka google store.
Lakini kwa muda kama wa wiki mbili hivi kila nikiifungua inaleta habari ya...
Naulizia kama itafanya kazi bongo
nimeikuta inauzwa ebay na inaruhusiwa kuuzwa mpaka tanzania imetajwa pale
DVB-T2 High Definition digital terrestrial receiver MPEG4 TV Receiver For Africa...
wakuu naombeni msaada mana niliweka mobile ant thief kwenye cm yangu siku za nyuma kidogo sasa baada ya kubadilisha line tu simu inaniambia privacy protection pasword ambazo nimeshazisahau naitaji...
Nimenunua flash GB 64, nimeweka PICHA na video nikichomeka kwenye TV haionekani kama flash, nikiiiweka kwenye PC inapiga kazi kama kawaida. Msaada ili niweze kuitumia kwenye TV. Nyingine zinafanya...
Habari wakuu,
Kuna hizi simu za wagiftishe zinatozotolewa na tigo ambazo SIM slot moja iko customized kwa ajili ya tigo tu na hiyo in access ya hsdpa upande wa internet wakati ile slot nyingine...
wadau napendelea zaidi kutumia wap stlye kuliko desktop style nikingia jamii forum cha ajabu toka juzi niki select wap stlye muonekano unakuwa hivi-kama inavyoonekana hapo chini.
setting kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.