wadau napendelea zaidi kutumia wap stlye kuliko desktop style nikingia jamii forum cha ajabu toka juzi niki select wap stlye muonekano unakuwa hivi-kama inavyoonekana hapo chini.
setting kwenye...
Habari zenu wakuu.. Nmeapply google adsense... Wakaipitia property yangu...then kuna code nlipewa niiweke kwenye header tags ili waifanyie review website yangu... Nikafanya hivyo...Sasa nashangaa...
Sorry wakuu,nashindwa kuplay azam 2 tv,katika live streaming yao inazingua sijui kwanini,pia na ITV inanzingua kwa android app. waklati tayari nimeinstall vizuri tu lakini haitaki kuplay live.kwa...
TV yangu aina ya LG nchi 42 LCD imepasuka kioo.
Kwa yeyote anayemfahamu fundi mzuri wa flat screen TV naomba anielekeze anapopatikana.
Au yeyote ambaye ana screen ya kufanya replacement...
Habari wana JF, leo nimeona ni share na nyie huu ugunduzi uliofanyika nchini japan, Kampuni moja ya huko japani imeweza kutengeneza simu yenye uwezo wa kuoshwa kwa sabuni na maji tena hata maji ya...
Hapo kuna info kazaa nimefuta lakini kuna mtu amekuwa akinifuatilia kwa miaka saba mpaka amefikia hatua za kujipa full control ya computer yangu katika kipindi cha miaka nane ameshaharibu computer...
Habari zenu wakuu , leo ningependa kuelezea jinsi ya kudownload video kutoka
facebook/ Jinsi ya kudownload video za Facebook ( Najua baadhi yetu tunajua na baadhi ya watu wengine hawajui )...
habari wanajf,nina simu(tecno430) kila nikidownload video yenye size kubwa kwa kutumia operamin browser inakataa,yaan haiwezi kabisa,kama kuna wataalamu humu naombeni mnisaidie maana huwa natamani...
Betri ya simu yangu imevimba mpaga mfuniko haufungi.
Sasa hadi naogopa isije ikanilipukia. Embu wataalam wa simu kujeni hapa muone namna ya kunisaidia maana hiki kimeo ndio kinachoniweka mjini!
Smart Elite ni wamekuwa wakiwasaidia watu wengi namna ya kutengeneza simu au computer yako mwenyewe bila kwenda kwa fundi. Ni kampuni ambayo itazindua App yake karibun. Nimezipenda huduma zao...
Me nimemaliza bachelor degree ya computer science in software engineering na sasahivi namalizia ccna baada ya kumaliza oracle database 11g ila lengolangu kubwa nahitaji kuwa network engineer...
Wakuu ninawezaje kupata sms au call confrimation code ya whatsapp line yangu imefungiwa haitumik kwenye mawasiliano na ilikwisha poteaga
N.b:nina shida nayo sana wakuu..
Niaje wadau,
Ni muda sana sijapost kitu humu ndani, mambo mengi. Leo ningependa kuwasilisha shell script niliyotengeneza kunisaidia kutafuta decrypted hashes, sana sana za MD5. Script hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.