File details:MT6580__TECNO__TECNO-L8Plus__TECNO-L8__5.1__L8PLUS-H805C1-L-160721V29
Naomba la kukopy toka kwenye simu ninayo download hayawashi simu sijapata file lenye details za hapo juu (Reason...
Vifaa hivi vifuatavyo bei yake inasimamaje?
i) Main switch "Havels" 12 ways
ii) Circuit Breaker "Havels" single phase
iii) Twin cable 10mm
iv) Single core cable 1.5mm kwa roll moja red,
black na...
Mtaani ni shinda uamuzi ni wako kuja kupata mafunzo ya kujifunza kufanya installation za camera au kusubiri ajira GS POWER INSTALLATION PAMOJA NA CHUO KIKUU CHA KENVISION NAIROBI PAMOJA NA WADAU...
Wakuu natumaini mu wazima wa afya.
Lengo la kuja hapa ni msaada wa namna ya kupata chanel za Azam TV maana wananiambia "NO PROGRAMME" hata nikiserch hakuna channel wala radio nayopata...
Habari za leo wanajamvi,
Naomba msaada wenu katika hili. nahitaji kusoma IT katika ngazi ya advance diploma, nimekuwa nikijiuliza ni chuo gani kitanifaa kwa kozi hiyo ambapo kama nitahitimu...
Guys Nina pc niliweka flash ya mtu yenye wale virus wanaohide files na kuziweka shortcut ... sasa kila nikiweka any external drive inapigwa shortcut nauliza jinsi ya kuwatoa completely kweny PC.
Natumia Nokia Lumia 520 windows 8.1, nataka Ku upgrade ili niweze kutumia windows 10. Kuna application inaitwa windows 10 upgrade advisor sasa nikitaka Ku upgrade to windows 10 inasema not...
Nimefikiria kuandika makala hii kuwasaidia hasa wale wanaojikuta wamekuwa na anwani za barua pepe kwa kulazimika (kama vile kupata huduma za Playstore kwa watumiaji wa Android) na pia kwa huduma...
Habari.
Wakuu kutokana na hali ya maisha kuzidi kuwa tight na mitandao ya simu kuzidi kupunguza MB naomba mnielekeze namna ya kupata line ya Halotel ya chuo ili niweze kupata university offer.
Habari wanabodi
Katika simu yangu kuna tatizo la "storage space run out ".
Naweza kuweka memory card ya Gb 16 ambayo ni empty kabisa lakini nashindwa ku download hata picha ya kb chache...
habari wandugu,
leo nimekuja na viswali vyangu baada ya kupita website ya tcra na kukosa majibu yakinifu kuhusu huku kuhamia kwa digitali kutoka analojia(digital migration),na maswali yangu ni...
Habari wakuu wa ukumbi huu leo niko na shida kuhusu PDF kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nahitaji kutuma PDF kwenye website flani ya nje bt inahitajika folder langu liwe na MB moja kamili sasa...
Tafadhari Shufu Kichwa cha Habari Hapo Juu,,
Naomba Kusaidiwa, Applications zote za Simu yangu ya Android TECNO Boom J8 Zinafanya Kazi Upande wa Internet Kasoro Whatsapp na Instagram ambazo...
jaman mi ni Wa long time hapa jf ila cjui jinsi ya kuipost pic humu jf o kuiweka habar nzima kutoka blog nyngine kuiweka hapa ,ivo naomben mnsaidie ili nishiriki nanyi kikamilifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.