Namna gani naweza unlock TECNO Y3+ za tigo

Namna gani naweza unlock TECNO Y3+ za tigo

shalet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2013
Posts
3,441
Reaction score
3,613
Habari wakuu,
Kuna hizi simu za wagiftishe zinatozotolewa na tigo ambazo SIM slot moja iko customized kwa ajili ya tigo tu na hiyo in access ya hsdpa upande wa internet wakati ile slot nyingine ni EDGE pekee, na ukiangalia mtandao wa tigo ni majanaga hata ukisoma h+ bado unazingua sana hivyo huwezi furahi huduma zao kuna namna ya kutoa SIM lock kwenye hizi simu ili tutumie mitandao mingine.

With regard.
 
habari wakuu,
kuna hizi simu za wagiftishe zinatozotolewa na tigo ambazo SIM slot moja iko customized kwa ajili ya tigo tu na hiyo in access ya hsdpa upande wa internet wakati ile slot nyingine ni EDGE pekee, na ukiangalia mtandao wa tigo ni majanaga hata ukisoma h+ bado unazingua sana hivyo huwezi furahi huduma zao kuna namna ya kutoa SIM lock kwenye hizi simu ili tutumie mitandao mingine.
with regard.

NAMNA IPO TENA BILA SHAKA KABISA TEMBELEA HAPA
Professional Technology

Professional Technology
 
SHALET
KARIAKOO SOFT
HYO SIMU YAKO YA TECNO Y3 PLUS ILIUWEZE KUTUMIA MTANDAO MWINGINE ITABIDI UWEZE KUUNLOCK HYO SIMU IWEZE KUTUMIA MITANDAO YOTE
JINSI YA KUUNLOCK TECNO Y3 PLUS HII SIMU INAWEZA KUUNLOKIWA NA KIFAA KIITWAACHO SIGMA BOX AU KAMA UJUI NINI NA UNAHTAJ KUSAIDIA UNAWEZA KUFKA KARIAKOO ILI TUWEZE KUKUUNLOCKIA SIM YAKO YA TECNO Y3 PLUS
MAWASILIANO 0653868632
NITAFURAH KAMA NITAWAONA HATA WALE AMBAO WAPENDA KUJIFUNZA KUFLASH SIM
 
Habari wakuu,
Kuna hizi simu za wagiftishe zinatozotolewa na tigo ambazo SIM slot moja iko customized kwa ajili ya tigo tu na hiyo in access ya hsdpa upande wa internet wakati ile slot nyingine ni EDGE pekee, na ukiangalia mtandao wa tigo ni majanaga hata ukisoma h+ bado unazingua sana hivyo huwezi furahi huduma zao kuna namna ya kutoa SIM lock kwenye hizi simu ili tutumie mitandao mingine.

With regard.
utaweza kutoa simu yako lock hapa bila kuflash
 
naomba kama kuna mwenye sample IMEI namba za TECNO Y3+ au CAMON C9 anisaidie atleast 10 digits thanx in advance
 
Y3+ hata files hazipatikani online, hizi simu bado zinasumbua vichwa kidogo


Njia ambayo ingekusaidia kwa haraka ni kuiflash kwa file ambalo lipo unlocked ila kwakuwa file hazipatikani itakubidi utafute sigmakey kama alivyo sema mdau hapo juu.

Bahati mbaya kabisa sijajua ni njia ipi sahihi ya Ku read file ningefanya hivyo for you
 
nilisha unlock nilienda pale aggrey street kuna viajan wajanja kweli kweli.
 
Back
Top Bottom