Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu habari za humu. Naomba msaada kwa yeyote atakayeweza kufungua simu yangu aina ya LG iweze kusupport huduma za tigo pesa na m pesa. Shukurani kwenu
0 Reactions
3 Replies
840 Views
Nb : Pamoja na hayo bado kwenye simu nimeweka memory card ya 4GB na sijahifadhi chochote. Sasa wakuu suala la storage kukosekana linakuja vipi? hata app ya 5 Mb nashindwa ku download! Please...
0 Reactions
5 Replies
891 Views
Kama una youtube ac ina suscribers kuanzia 2000 njoo DM tuongee biznezz
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Natumia huawei G510 yaani inanipa shida sana kila nikitaka kuingia fb inazimika. Nashindwa kubaini tatizo ni nini. Pia najaribu kuingiza link ya kupata TV za hapa Tanzania inagoma. Msaada tafadhali
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wapendwa Tv yangu imegeuka picha. inaonyeaha upside down...kwa anayejuaa jinsi ya kuset msaada plwaaw
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu natumia device ya Lenovo na IWAPO TUU nikitumia SIM CARD ya AIRTEL na nikifungua Data, my device automatically GPS inajiswitch on!! Hata kama nikiswitch off!! After 40 or 30 second...
1 Reactions
0 Replies
668 Views
Bajeti ya kwenda Dukani haitoshi hivyo kwa yeyote aliyenayo tuwasiliane 0718295182 Bango
0 Reactions
0 Replies
490 Views
mwanzo video zote zinazopostiwa zilikuwa poa,lakin toka ni update video aziplay kabisa naomba msaada kwa expert:
1 Reactions
0 Replies
672 Views
Habari wanajamvi Nahitaji msaada,simu yangu inazima hovyo hovyo,tena nikiwasha internet ndo balaa, mwenye utaalam namna ya kuifanya irudi ktk hali yake nisaidie tafadhali. Shukrani.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
TAIFA A3 LAPTOP The TAIFA Brand Laptop is a product of the Nairobi Industrial and Technological Park (NITP). NITP is a kenyan vision 2030 flagship project between Jomo Kenyatta University of...
0 Reactions
50 Replies
8K Views
Habari zenu wakuu! Natarajia kununua laptop yenye specifications hizi; RAM 2GB, processor intel celeron N3050, 32GB SSD. Brand nayotaka kununua ni dell inspiron 11.6". Ningeomba mtu mwenye...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Sijui cha kufanya Napata ujumbe ''your video file is missing' kama inavyoonekana kwenye picha
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hi every one , can any onehelp me with this..... various factor wich affects the efficiency of analytical instruments comonly used in biotechnology
0 Reactions
2 Replies
750 Views
Habari za jioni, Wadau nahitaji solution ya automatic backup, ila sina uzoefu wa namna inavyofanya kazi
0 Reactions
0 Replies
502 Views
Hi once again database administrators i need help to solve this problems
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Habar wana tekinolojia naomba msaada juu uwezekano wa kupata simu ya samsum mpya original kwa shillingi laki tatu tu mfano samsung j5 au S4 au note3 au yeyote yeyote yenye angalau kioo kikubwa kidogo
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari Wana-JF wenzangu. Kila nikijaribu kufungua link ya matokeo ya form four yanakataa na hapa natumia opera mini kuufungua matokeo!! msaada!;;
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Habari zenu wanajukwaa...Kwa dar wapi naweza kuoata pc yenye hizi specs kwa bei rahisi na ubora mzuri. Core i7 2.7 ghz ram 4gb video memory 2gb model yoyote
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Habari za mchana, Poleni na majukumu. Nataka nisikie kutoka wa mtumiaji wa TECNO W5 Lite kama ina uwezo wa 4G. Ninatumia Vodacom na mkoa niliopo bado Vodacom 4G haijafika. Asante.
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Soldering station ni bei gani na wapi zinapatikana
1 Reactions
15 Replies
6K Views
Back
Top Bottom