Habari wana JF, karibuni tena kwenye makala nyingine kutoka Tanzania Tech leo tunaenda kujifunza jinsi ya kuanzisha darasa kupitia kwenye mtandao bila kutumia gharama zozote zile. Njia hii inafaa...
Habari,
Nina shida kidogo wazee, nina Samsung s5 original na Samsung J7 original cha kushangaza zote hazipandishi 4G. Nimejaribu kurekebisha APN ila hakuna lolote. Nikipiga simu halotel customer...
Habari zenu wakuu. Ninapata shida kwa siku ya pili sasa, whatsapp nashindwa kabisa kuingia. Internet inasoma H+ 200Kbs per second, ila nikiingia whatsapp tu inashuka hadi 0 na nashindwa kutuma...
Aina ya Xiaomi, Samsung, Lenovo au Oppo. Iwe na internal memory 16 hadi 32 Gb, Ram kuanzia 1gb, ukubwa wa skrini uwe at least 5.5 na kuendelea. Nina 220k. Picha muhimu.
Waungwana nautafuta Uzi ambao ulielekeza namna ya kufanya Simu kuwa nyepesi unapofungua apps zake.
Aliweka mtu humu,kwa kuanza kutafuta developer ambayo pia imefichwa.
Naombeni Msaada. Nimenunua Prado KDJ95 engine 1KD. Lakini lina tatizo la miss wakati mwingine MISS inakuwa kubwa sana wakati mwingine inapotea kabisa. Tatizo litakuwa ni nini na nimwone nani hapa...
Dah, nilikaa nje ya Jamii Forums na Jukwaa la Teknolojia kwa muda, nimemiss mengi sana. Jamii Forums imeendelea kuwa sehemu ya kujifunza na kuelimisha vilevile kama nilivyoiacha, naweza sema...
Wakuu naomba maproducer wa audio studio ambao ni Wazoefu wa kutumia cubase programu katika kuedit nyimbo baada ya kurekodia. Please ni procedures /hatua gani unatumia ili wimbo utoke vizuri baada...
Kuna simu ya android Kitkat android version 4.4.2
Nahitaji ku upgrade kwenda kwenye better version.
Nahitaji kuwa na nin?
Madhara au faida nitayo ipata baada ya ku upgrade,
MSAADA TAFADHARI...
Za saa hizi wadau,
natumia Tecno phantom 6 plus, tokea jana simu inagoma kabisa kuconnect na net ila kwenye watsap tu... ila.nikifanya tethering watsap inafanya kazi poa tuu ...
Ila nikiwasha...
Hebu tujjaribu kushare hili jambo. Nimeshawahi kuona picha na maneno mengi mtandaoni yakisema simu inaweza kukulipukia ukiwa unaongea huku ikiwa kwenye chaji. Mimi kwa uelewa wangu naona vitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.