Jamii Forums, Kilongwe amerejea

Jamii Forums, Kilongwe amerejea

Kilongwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2008
Posts
423
Reaction score
116
Dah, nilikaa nje ya Jamii Forums na Jukwaa la Teknolojia kwa muda, nimemiss mengi sana. Jamii Forums imeendelea kuwa sehemu ya kujifunza na kuelimisha vilevile kama nilivyoiacha, naweza sema imeendelea kuimarikazaidi na zaidi.

Kilongwe amepata hamasa sasa kurejea na kushirikiana na wadau kwenye hii nyanja.

Nimerudi. Viva JF
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom