MSAADA: Nashindwa kuingia whatsapp, internet haisomi nikiingia

Kiraka Kikuu

JF-Expert Member
Oct 3, 2011
5,904
1,976
Habari zenu wakuu. Ninapata shida kwa siku ya pili sasa, whatsapp nashindwa kabisa kuingia. Internet inasoma H+ 200Kbs per second, ila nikiingia whatsapp tu inashuka hadi 0 na nashindwa kutuma wala kupokea chochote. Naomba msaada kwa mwenye suluhu ya hili. Natumia TECNO W3.
Ahsanteni sana
 
2426397086a547b23c0b8617c4ebb279.jpg
7d5f9101577d5a82c6a804708a397c86.jpg
3992a3e870e77da231ba64ffc1fd38e9.jpg
9097b6acc914be72908355bc2d30afb0.jpg
jaribu kwenda kwenye hi manager halafu zima hapo kati kwenye hizo option halafu lete mrejesho
 
Hapo Hadi Ufanye Systeem Restore Tu Vinginevyo Haitakubali
Usimtose hizo simu za tecno w3 akifanya factor reset ajiandie na hela ya kwenda kutoa google by pass kwenye computer zinasumbua sana hizo simu

Kuna kitu kinaitwa google by pass kama siyo mzoefu lazima ukaiflash akifanya hard reset hiki ndicho kitakacho mpata
 
Habari zenu wakuu. Ninapata shida kwa siku ya pili sasa, whatsapp nashindwa kabisa kuingia. Internet inasoma H+ 200Kbs per second, ila nikiingia whatsapp tu inashuka hadi 0 na nashindwa kutuma wala kupokea chochote. Naomba msaada kwa mwenye suluhu ya hili. Natumia TECNO W3.
Ahsanteni sana
Mkuu unatumia mtandao gani?
 
Usimtose hizo simu za tecno w3 akifanya factor reset ajiandie na hela ya kwenda kutoa google by pass kwenye computer zinasumbua sana hizo simu

Kuna kitu kinaitwa google by pass kama siyo mzoefu lazima ukaiflash akifanya hard reset hiki ndicho kitakacho mpata

Haswaaa
 
Habari zenu wakuu. Ninapata shida kwa siku ya pili sasa, whatsapp nashindwa kabisa kuingia. Internet inasoma H+ 200Kbs per second, ila nikiingia whatsapp tu inashuka hadi 0 na nashindwa kutuma wala kupokea chochote. Naomba msaada kwa mwenye suluhu ya hili. Natumia TECNO W3.
Ahsanteni sana
whatsapp imepata itilafu kwa sasa dunia nzima
 
Back
Top Bottom