samsug yangu inazingua upande wa sim card

samsug yangu inazingua upande wa sim card

kaiser p

New Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
4
Reaction score
3
samsung s4 inazingua kwenye sim kadi kuna mda inaandika sim card removed restat,ukisha restat inaonekana nini tatizo
 
labda inacheza line, ukiieka inafit vizuri au imelega lega?
 
labda inacheza line, ukiieka inafit vizuri au imelega lega?
Pia tatizo linaweza kua ni connection mbaya katika hiyo sehemu iliyozungushiwa na rangi nyekundu.


Solution ni kufungua na kuhakikisha pamekua well connected.
 

Attachments

  • TMPDOODLE1493829521758.jpg
    TMPDOODLE1493829521758.jpg
    78.5 KB · Views: 32
maana kuna mda inaweza kumaliza dakika 3 kila uki reastat ina soma sim kadi removed je inawezekana kubadilishwa sehem ya sm card
 
Back
Top Bottom