Jamani shida ni hii, nahitaji kutumia WhatsApp ile ya zamani maana hii mpya naiona ipo kinyume. Kwa anayeweza naomba anipe maelekezo wapendwa ili niirudishe ile ya zamani.
Nawasilisha ombi langu...
In 1sec the sun generates more energy than has been used in all of mankind's history.
That's alot of energy. This fact demonstrate the incredible amount of power our sun generates. But just how...
Habari zenu wakuu, nahitaji sana smartphone yenye camera ambayo uwezo wake upo juu hata kutumia katika masuala ya kibiashara kama vile graphic yake na uwezo wa kuhold apps za 3d. Ila kidogo bei...
Wakuu nina huawei G610-U20 inajizima na kujiwasha hovyo nimejaribu kuirestore kawaida imegoma,,nikiwasha kwa kuhold volume down na bottun ya kuwashia ina vibrate tu laikin yale maandishi ya...
Habari,
Wadau leo wapo wafanyakazi ambao kesi/migogoro kati yao na serikali imeshasikilizwa lakini ni zaidi ya miezi mitatu sasa wengi hawapati maamuzi kwa kuzungushwa na hao waamuzi wa tume ya...
Kiukweli hapa nina mzigo wa G'FiVe G10 fashion natafuta firmware yake lakin kulingana na kuwa hautaki kuwa installed ktk pc nikaona sio vyema ngoja niufungue nicheck chip gan unatumia?????
Kila kukisha nasikia hawa wamefanya majaribio ya siraha za Nyulkia na kufanikiwa, sasa hayo majaribio yanafanywaje yaan? au kuna sehemu wanalipua huo kusikokuwa na watu na kuona wamefanikiwa au...
polen na kaz wakuu kuna tecno l8 hapa inazingua... yan niliirestore sasa inapoanza upya,kwenye primary settings pale mwanzo yan kuselect language unachagua vizuri,ikitoka hapo ileta page...
Habari za Jumapili waungwana...
Naomba mwenye key activator za windows 10 enterprise..wanitumie (wanisaidie ) kama kuna mtu anazo..
naamini wale wenueuelèa wa haya mambo wamenielewa vizur.
shukran.
Assalama aleikum,
Waungwana sina mengi ila naomba sana mwenye kujua alipo fundi wa kutengeneza ( replace) screen za smart TV za samsung anisaidie ... maana yangu ilipasuka na kwa kweli nahitaji...
The best online pool game in the entire world yet,
Nimekua nikicheza hili game kwa muda mref sana sababu n zur sana na ni real,
lengo la kuweka uzi huu ni kwa wale ambao ni ma fans wa hili game...
Habari za majukumu wanajukwaa!! Kwa mara nyingine nakuja kweny jukwaa hili endelevu nikiomba msaada.
Ni hivi baada ya kujipinda na mie nikaweka chini chogo na kuvuta Samsung Smart TV model 4303...
I have washing mashine INDESIT WIXL 143s. I have been using it for the past three years;unfortunately recently, some parts including the bearings and pcb (printed circuit board) went wrong! Now...
wakuu msaada wenu tafadhal coz mashine iligoma kufanya kazi ghafla yaani huwa inawaka tuu kwenye keyboard but display haioneshi chochote_ntafurah sana endapo nikipata motherboard ya hii mashine...
Wakuu nauza c9 imetumika miez 6 nataka nibadl upepo wa cm.. Price 300000 but it can be negotiated kiduchu!
One thing haina tatizo hata moja kioo kiko bomba kabisa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.