Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Wakuu nauza c9 imetumika miez 6 nataka nibadl upepo wa cm.. Price 300000 but it can be negotiated kiduchu! One thing haina tatizo hata moja kioo kiko bomba kabisa!
0 Reactions
2 Replies
927 Views
samahn wakuu naomb msaada,nielekezwe namna ya kuburn hii copy ya window nime ihifadhi kweny pc xax nimejaribu nimeshidwa natumia ashampoo9
0 Reactions
1 Replies
754 Views
Habari zenu ndugu zangu, Ninaitaji msaada wenu - (Atakeyenishawishi anaelewa naweza kumlipa) - kwenye suala la kubadilisha domain name. Kwa kusema haya ninamaanisha: kubadili: maneno.com to...
0 Reactions
1 Replies
844 Views
Habari za Jumamosi wana JF karibuni tena kwenye makala nyingine fupi, leo tutaenda kuangalia jinsi ya kuongeza ulinzi wa simu yako ya android kwa aina mpya ya lockscreen. Najua wengi wetu tumesha...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Simu yangu ni Tecno Phantom6 Niliinunua October mwaka, ila kwa bahati mbaya leo nimeigonga kioo kwa funguo iliyokuwepo kwenye mfuko wa suruali na imefanya crack kwenye kioo. Naombeni ushauri...
0 Reactions
0 Replies
845 Views
Habari wana Jf naombeni munijuze bei ya Samsung kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo eleza.Naitaji kununua anayejua anijuze.
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana jamvi? Kama ilivyo ada, leo tumewaandalia video itayo kupa mwanga wewe unayehitajikuanza kujifunza computer programming lakini hujui uanzie wapi!! Katika video hii, tumeweka lugha...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
nimefungiwa fb jana baada ya kuposti picha ya uchi kila nikiingia inagoma pia hyo akaunti ya fb ndio niliyokuwa natumia kuingilia instagram, nilichokuwa naomba nisaidieni hii akaunti ya insta ili...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
namna ya kudownload movies za FAST and FURIOUS kwa kutumia simu
0 Reactions
2 Replies
724 Views
Habari wakuu, nilikuwa naomba kujua software ware ipi ambayo ni FREE kupakua katika mtandao ambayo itanisaidia kuchora graphs,hasa za takwimu ambazo sio ngumu ( not complicated mathematics)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naimani mu wazima wana JF. Natumia Huawei Y336, nashindwa ku upload picha na video zilizopo kwenye memory card JamiiForums. Lakini social network zingine kama fb, whatssup, n.k inakubali...
0 Reactions
3 Replies
869 Views
Hello wa ndg natuamai nyote wazima. Naomba msaada kwa yeyote aliyewahi kukutana na tatizo hili kwanye cisco router 2911 anipe msaada. An uncorrectable parity error has occured in the tdm switch...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau naomba kijua ubora wa hii star x led tv na Tcl kwenye ubora. Ni kampuni bora na kwa nn?
1 Reactions
5 Replies
3K Views
LAPTOP A -2.7 GHZ 8gb ram RAM CORE i5 7the edition video menory 4gb with nvidia 930m pamoja na intel graphics 1 tb hdd LAPTOP B 2.6 GHZ INTEL CORE I7 5600U 8 gb RAM video memory 4gb intel hd...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Habari wanajamvi. Nina tatizo moja na Simu tajwa hapo juu. Nikijaribu kuplay music at backgroud inaplay muda mfupi then inastop. Nimejaribu kuinstall music player Apps mbalimbali lakini bado...
1 Reactions
2 Replies
705 Views
Natumia samsung note 4,tangu nianze kuitumia inakubali kuongeza salio lakini napofikia kutaka kujiunga na kifurushi au kuulizia salio la kifurushi hai'support', kuna bwana nilijaribu kumwomba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana jf et ni karatasi aina gan inatumika kutengeneza vipeperushi na majarida na pia ni program IPI inatumika Ku design
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Hiv karibuni kulikua na wimbi la samsung original kufungiwa na TCRA Simu nzima inasoma line ila haipandishi mtandao. Au inapandisha mtandao ila haipigi, haipokei wala data hupati. Ukituma imei...
3 Reactions
68 Replies
7K Views
Hi, Nashindwa kuactivate window 10 enterprise kwenye pc.Kila nikijaribu kuactivate inanipa jibu kuwa window can`t activate right now.Try activating againg later.If that doesn`t work, contact...
0 Reactions
1 Replies
605 Views
Hi, Nashindwa kuactivate window 10 enterprise kwenye pc.Kila nikijaribu kuactivate inanipa jibu kuwa window can`t activate right now.Try activating againg later.If that doesn`t work, contact...
0 Reactions
0 Replies
552 Views
Back
Top Bottom