Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

wana jf msaada wenu wahitajika kuichakachua hiyo simu ya vodafone iweze kutumia line zote Nawasilisha!
0 Reactions
0 Replies
974 Views
Wadau, komputer yangu inaleta shida kidogo hapa. Nikiichomeka kwenye charger ikiwa imezimwa inawaka kitaa kwamba inacharge-na inakuwa inacharge kweli. \Tatizo nikiiwasha, inaacha kucharge so baada...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba msaada wakuu. computer yangu mpaka jana ilikuwa nzima tu. Lakini leo inaniambia no Intel adapter is present in your computer. computer yenyewe ni hq-compact dx 1000. howdo I go along
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimepakua sana wkend hii hadi mtandao umesuasua isivyo kawaida. Kuna uzi niliusoma humu unahusu nini cha kufanya kurudisha kasi ya net. Msaada plz
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Badala ya kuhangaika na Radio ofisini just click hapa na unapata news na updated music. Endeleeeeaa huku unachapa kazi Tone Internet Radio Mimi nimeipenda sana, Hongereni Vijana kwa kazi Nzuri
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Greetings! Hope this message finds you well. We would like to present ourselves to your respected Company as Digi Matrix Technologies being one of the leading suppliers of Advertising machines in...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Macbuntu, Part 3 | kyleabaker.com
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nasikia watu wanakachua,namimi leo zamu yangu yakuchakachua!nivipi?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Heshima mbele, Naomba nisaidiwe jinsi ya ku-attach file lenye ukubwa wa 200mb kwenye yahoo mail NB Ziwezi kuligawa (Break) file hilo Thank in advance
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari, Natumia moderm ya voda k3570-z but toka nimeanza kuitumia mobile connection ndo inakuwa connected wakati LAN connection haiwi connected. Je hii haina effect kwenye internet speed.Naomba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mambo vp wajomba natumai mpo poa.jamani hili jukwaa naona linazidi kuwa pana zaidi.ukijaribu kuchunguza utaona mada kubwa zinazojadiliwa ni ama mambo ya computer au mambo ya simu. Na modem.japo...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Habari za weekend? Jamani kuna mdogo wangu anatafuta software ya Microsoft SQL server kwa ajili ya project chuoni anasoma masomo ya IT. Kaniambia mwanzoni walitumia Oracle lkn imewazingua yeye na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomben msaada wajumbe nitumie nini kuifungua modem hii
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hey wakuu, najarbu kutuma fax kwa kutumia "All in One Printer" niliyonunua kwa ajili ya kazi zangu ndogondogo nyumbani; Iko connected tayari na Landline, configuration zote zimefanyika. Ngoma ipo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nina website yangu nimeshaitengeneza nataka iwe online,kuna member mmoja alitutumia free web host Weebly - Create a free website and a free blog lakini nafikiri wanataka nilipe, mimi nataka...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ndio,mwanzoni nilidhani ni matapeli, kumbe ni kweli!!!! Trick wanayotumia ni kukuambia ongeza salio na upate 200mb za internet bure kuanzia saa 6 usiku-saa 12 asubuhi!Suala ni kwamba sio lazima...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Welcome to the world of Opensoure. Plz watu wanahama kutoka kwenye takataka Windows. Plz kama kuna swali au tatizo kuhusu Linux mda ndiyo huu!
1 Reactions
8 Replies
2K Views
i want to run a web hosting business, i need your advise,what is requirement. thank you!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
There's DVD+R, DVD+RW, DVD-R, DVD-RW, and even DVD-ROM! So what's the difference between all of these different names, aren't all DVDs the same? Well, it's not quite that simple. Let's first...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
jamani kila nikijaribu ku burn CD R , mwisho natapata msg kuwa burning went successfully lakini nikirejea kwenye CD ni empty nikijaribu kuifungua window inaniambia ni format. Nimetumia Nero...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Back
Top Bottom