Wadau,
komputer yangu inaleta shida kidogo hapa.
Nikiichomeka kwenye charger ikiwa imezimwa inawaka kitaa kwamba inacharge-na inakuwa inacharge kweli.
\Tatizo nikiiwasha, inaacha kucharge so baada...
Naomba msaada wakuu.
computer yangu mpaka jana ilikuwa nzima tu. Lakini leo inaniambia no Intel adapter is present in your computer.
computer yenyewe ni hq-compact dx 1000. howdo I go along
Badala ya kuhangaika na Radio ofisini just click hapa na unapata news na updated music.
Endeleeeeaa huku unachapa kazi
Tone Internet Radio
Mimi nimeipenda sana,
Hongereni Vijana kwa kazi Nzuri
Greetings! Hope this message finds you well.
We would like to present ourselves to your respected Company as Digi Matrix Technologies being one of the leading suppliers of Advertising machines in...
Habari,
Natumia moderm ya voda k3570-z but toka nimeanza kuitumia mobile connection ndo inakuwa connected wakati LAN connection haiwi connected.
Je hii haina effect kwenye internet speed.Naomba...
Mambo vp wajomba natumai mpo poa.jamani hili jukwaa naona linazidi kuwa pana zaidi.ukijaribu kuchunguza utaona mada kubwa zinazojadiliwa ni ama mambo ya computer au mambo ya simu. Na modem.japo...
Habari za weekend? Jamani kuna mdogo wangu anatafuta software ya Microsoft SQL server kwa ajili ya project chuoni anasoma masomo ya IT. Kaniambia mwanzoni walitumia Oracle lkn imewazingua yeye na...
Hey wakuu, najarbu kutuma fax kwa kutumia "All in One Printer" niliyonunua kwa ajili ya kazi zangu ndogondogo nyumbani; Iko connected tayari na Landline, configuration zote zimefanyika. Ngoma ipo...
nina website yangu nimeshaitengeneza nataka iwe online,kuna member mmoja alitutumia free web host Weebly - Create a free website and a free blog lakini nafikiri wanataka nilipe,
mimi nataka...
Ndio,mwanzoni nilidhani ni matapeli, kumbe ni kweli!!!!
Trick wanayotumia ni kukuambia ongeza salio na upate 200mb za internet bure kuanzia saa 6 usiku-saa 12 asubuhi!Suala ni kwamba sio lazima...
There's DVD+R, DVD+RW, DVD-R, DVD-RW, and even DVD-ROM! So what's the difference between all of these different names, aren't all DVDs the same?
Well, it's not quite that simple.
Let's first...
jamani kila nikijaribu ku burn CD R , mwisho natapata msg kuwa burning went successfully lakini nikirejea kwenye CD ni empty nikijaribu kuifungua window inaniambia ni format.
Nimetumia Nero...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.