habari wana jamii?
Tafadhali mwenye software ya canon photocopy iR2016 anisaidie wandugu. Mimi nipo mtwara na nina hii machine nashindwa kuitumia.
natanguliza shukrani zangu
Nilidondosha laptop yangu Dell Inspiron 1525, ikaharibika kioo nikanunulia kingine ila kila mara natakiwa kuadjust mwanga badala ya yenyewe kutoa mwanga wa kutosha hata ukichomeka chaja kwenye...
Warning LAPTOP CAN COST YOU LIFE This is very crucial READ IT ALL A well-known family lost their 25 year old son in a fire at home. This is what happened: He graduated with MBA from...
wakuu na wawezeshaji wote wa JF poleni na kazi na nawatakia kila la kheri na kazi .
nina wazo jipya sina uhakika kama litakuwa jipya kwa kila mtu , lakini nitajaribu kulielezea kwa kadri...
Wadau nimejaribu ku download hii software lakini mwisho wa siku inakuja iliyo compatible na windows xp ambayo hai enable "Download this video". Nielekezeni cha kufanya tafadhali
jamani naomba mnisaidie wa jf,hard drive- external yangu inagoma kusoma kwenye komputa,nmejaribu kubadilisha komputa mbalimbali pia imegoma,kuna mtu amenambia kwamba ninaweza kuilicova sasa naomba...
Salaam Wakuu,
Nimekuwa nikitumia dell Latitude laptop lakini naona kama ni bei ghali kuliko dell inspiron.
Je kuna tofauti gani kama mtumiaji wa kawaida?maana wanasema dell latitude ni business...
Wakuu, naomba msaada wenu kuhusu uimara wa hyundai trajet hasa kwa mazingira yetu ya Tanzania.
Iko kama Toyota Gaia, ina abiria 7 ukiongezea na dereva. Nataka kulinunua wakuu.
natumia micromedia Dreamweaver,kwa kweli inanisumbua sana naona ni complicated sana
je kuna software nyingine ambayo ni easy kidogo kwa mgeni wa hayo mambo kama mimi?
Jamani wataalamu naombeni msaada.computer yangu ni nzito sana.ni dell gx 270.hdd 160.ram 1gb.processor 3.0.ila haina ant virus.je inaweza kuwa ni tatizo la kufanya mashine kuwa nzito?pia kwa nini...
Nina desktop yangu dell, ninayo kwa muda wa mwaka sasa na haijawahi kunisumbua ila juzi nilimuazima jamaa yangu flash then aliponirudishia niliiiscan na antivirus ninayotumia ya Symantec na...
Wakuu naomba msaada wa kuichakachua modem mpya ya tigo, imekubali kubadili dashboard tu ila firmware imegoma katakata hivyo inakataa line nyingine zote isipokuwa ya tigo tu. Waliofanikiwa...
Wakuu ninayo Ipad2 3G ,inatumia line ya Airtel Microsim card. Microsim yenyewe ni simcard ya kawaida ambayo imekatwa kuipunguza,,kwani wao hawana sim card hizi ndogo. Tatizo ni kuwa ipad haina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.