Wakuu nimesoma soma mtandaoni kuna gazeti huko majuu UK limesababisha mjadala mkubwa baada ya kuonekaa stye yake ya kutafuta data na taarifa mbali mbali ilikuwa ni kupitia hacking Voice message...
Habari wana JF
Kuna application ya chat naitumia ya Mxit kwenye simu yangu ya blackberry. Inapatikana kwa simu zingine pia. Blackberry messenger naona inabagua wenye simu hizo tu. Lakini mxit ni...
Wana jamii habari
niliwahi kutengeza blogspot yangu na ikafanikiwa kuwa hewani ila nataka nibadili jina lake namaanisha labda something.blogspot.com liwe jina lingine plz naomba msaada wenu...
hallo wana-jf,<br>in two months time ninaweza nikapata kalikizo cha kama 5 wix ivi na ningependa m2 expert wa web-designing atakeyependa kuniongezea ujuzi kwa huo muda,please reply if any.nice day
hii ni single page album app, ambayo unaweza kuappload and kuangalia picha kwenye secreen. Coding for fun, so ukiweza improve it then share it. I am doing the same too.
Jaman jaman,hv been taking my time
kufwatilia hilo swala. Am using Nokia
5800 xpress music.
Fwatisha maelezo ya fuatayo kwa
makini sana.
1. Ikia kwny link hii nokiasymbianthemes.com/explore/...
Imagine being caught in a thunderstorm as wide as the Earth with discharges of lightning 10,000 times more powerful than normal, flashing 10 times per second at its peak.
Now imagine that this...
Wakuu naomba msaada nawezaje kupata channel ya E-TV ambayo imekuwa locked kwenye dish. Swali hilo hilo pia kwenye king'amuzi cha Startimes kwa ajili ya Channel Na.49 (TEST). Channel hizi...
Ninayo flash ambayo kwa bahati mbaya inaonekana inawaka lakini haionekani kwenye drives za my computer.
Nawezaje kuirudishia uhai ili niione kwenye computer? nahisi software yake itakuwa...
:mod:jamani wanafamilia habari za mida...poleni sana na majukumu ya kila siku...sasa familia me sasa ni zaidi ya miezi sita kam sio saba kwenye laptop yangu kuna virus uyo anakula desktop icon...
Source: The Guardian (sio letu)
Evangelical Christians in Brazil have apparently banned the use of USB connections after claiming the technology is the mark of Satan-worshippers (Hat tip...
Nimejaribu kufungua Word document kwenye Word 2007 na kupata message hiyo hapo juu!
Nimesoma online solution lakiki sijafanikiwa.
Jamani nipeni idea maana siwezi kufungua document (CV) na kuedit...
Vipi j.f mpo programmers wa ku develop android mobile applications?
Nimekuwa impressed na kenyans ambao wana contests za kudevelop android apps hostes by google,
nilikutana na chalii mmoja...
Wakuu, nina Ipod yangu ambayo hai-display, kwenye screen inawaka rangi nyeupe tu. Ila mziki inapiga. Niliogopa kupeleka kwa mafund hawa uchwara wacje wakaiua kabisa. Msaada wenu, mnaweza nielekeza...
Yap habari zenyu people hv wajameni mie kwa ujuzi wangu nafaham kuwa kuna mitandao ya GSM and CDMA ambapo GSM kuna tigo, airtel, voda
ambapo wana GPRS/EDGE and 3G networks, pia zantel ipo lakini...
Naitumia kwenye tarakilishi yangu. Siku nimefyonza kabrasha fulani nikaenda kuprint sehem fulani. Narudi na kuichomeka inanihitaji ku scan. Ile kumaliza scan na taarifa zangu zote muhimu zimefutwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.