Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,941
Wadau,
komputer yangu inaleta shida kidogo hapa.
Nikiichomeka kwenye charger ikiwa imezimwa inawaka kitaa kwamba inacharge-na inakuwa inacharge kweli.
\Tatizo nikiiwasha, inaacha kucharge so baada ya mda mfupi wa kuitumia inazimika.
Nikijaribu kuitumia bial batery yake ndo haiwaki kazisa kwani
licha ya kale kataa cha pale power cable inapoingilia kuwaka haioneshi kama inaingiza charge kabisa.
Nimeshindwa kujua tatizo lipo kwenye power cable, umeme mdogo unaoingia ama ni internal problem kwenye power system ya computer.
Tafadhali msaada wenu...
komputer yangu inaleta shida kidogo hapa.
Nikiichomeka kwenye charger ikiwa imezimwa inawaka kitaa kwamba inacharge-na inakuwa inacharge kweli.
\Tatizo nikiiwasha, inaacha kucharge so baada ya mda mfupi wa kuitumia inazimika.
Nikijaribu kuitumia bial batery yake ndo haiwaki kazisa kwani
licha ya kale kataa cha pale power cable inapoingilia kuwaka haioneshi kama inaingiza charge kabisa.
Nimeshindwa kujua tatizo lipo kwenye power cable, umeme mdogo unaoingia ama ni internal problem kwenye power system ya computer.
Tafadhali msaada wenu...