Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,107
- 2,506
Habari za weekend? Jamani kuna mdogo wangu anatafuta software ya Microsoft SQL server kwa ajili ya project chuoni anasoma masomo ya IT. Kaniambia mwanzoni walitumia Oracle lkn imewazingua yeye na wenzake so hawakufanikiwa chochote. So please kama kuna yeyote mwenye software ya Oracle 10g na Microsoft SQL server au dataware house software yeyote itakuwa poa sana, nitashukuru sana akinipatia ikiwezekana hata kwa kuburn ili mdogo wangu afanikiwe katika masomo yake.Natanguliza shukrani.