Jinsi yakuchakachua modem za HUAWEI AIRTEL

Jinsi yakuchakachua modem za HUAWEI AIRTEL

KakaKiiza

Platinum Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,945
Reaction score
9,458
Nasikia watu wanakachua,namimi leo zamu yangu yakuchakachua!nivipi?
 
Nasikia watu wanakachua,namimi leo zamu yangu yakuchakachua!nivipi?
Labda ungeelezea pia kuichakachua vp na huko ulikosikia ni wapi coz kama ni swala ya kuifanya iwe inatumika kwa line yoyote tofauti na airtel bado halijapatiwa ufumbuzi na sio hapa 2 bali sehemu mbali mbali hiii na maanisha kuichakachua by FREE lakini kwa HELA inawezekana coz kuna software zinazofanikisha hio kitu lakini lazima uzinunue, au uzilipie kama DC UNLOCKER inafanikisha hio kitu lakini lazima ununue enough credits kuweza kui unlock.
 
Naona wakuu mnazunguka sana jibu ni kuwa hizo modem ziko counter block yaani haziwezi kuchakachulika wadau bado hawajapatia ufumbuzi hilo tatizo plz be patient.
 
Its possible for both HUAWEI and ZTE to be unlocked kuna software za free zinafanya hiyo kitu. Plz nikumbushwe bac nitaiweka hapa......ngoja nipitie kwenye library yangu kama sija-format maana nilikuwa nayo enzi natumia takataka Windows
 
Jamani simu yng niliiwekea lock,leo najaribu kuunlock imegoma nifanyaje?
 
Jamani simu yng niliiwekea lock,leo najaribu kuunlock imegoma nifanyaje?
umesahau passwd zako? Kama unauhakika hujasahau paswd .toa betr ktk sm kisha subiri kwa muda kati ya dkk 10 na 20 .baada ya hapo jaribu tena kuingiza pswd zako.
 
Back
Top Bottom