Kuwa makini sana unapotaka kununua simu. Jiepushe na majina haya:-
Nokla, ukiwa na pupa au haraka au usipokuwa makini utaweza kufikiri kwamba ni Nokia.
Pia siku hizi kuna simu zako ziko branded...
Wale wote mnaopenda vitu vya chee sasa mtakoma. Wenyewe wamewashtukieni!
July 7, 2011 8:39 AM PDT
Top ISPs agree to become copyright cops
by Greg Sandoval
Some of the top ISPs, including...
Salaam kwa wana JF wote!
Ni kuwa wakati napiga simu,mpokeaji/receiver ananisikia kwa mbali/shida sana (i.e. sauti yangu inakuwa chini mno). Wakati huo mimi nakuwa namsikia vizuri sana! Inafika...
salaam wakuu,natumaini mambo ni shwari. Naomba msaada kuna rafk yangu jana kaibiwa blackberry bold yake,je is there any means kuweza kuitrack nakuirecover? Natanguliza shukran za dhati wakuu
Nimesoma article kwenye link hii Ban PowerPoint! - Tim Worstall - It's All Trivial Or Obvious Except - Forbes inaonekana wazungu wanataka turudi kwenye flip charts. na most of them wanasema it is...
Please kwa mtu yeyote anayejua ku Design online radio naomba msaada, am some how good in IT lakini kama kuna mtu atanipa starting point au location ambapo naweza pata resources please let me know!!
Wanajamvi naombeni michango yenu, nina maswali machache juu ya e-learning kwa mazingira ya Tanzania.
1. Hali halisi ya matumizi ya e-learning kwa Tanzania ikoje kwa sasa?
2. Ni matatizo gani...
Laptop yangu, CPU imekufa haifanyi kazi kabisa, ukiwasha ile power light inablink mara kwa mara tena kasi na hakuna chochote kinachoonekana kwenye screen (monitor), hv kuna uwezekano wa kununua...
Nina Iphone, sijui nimebonyeza nini imeanza kuonyesha herufi kubwa na icon kubwa kwenye screen, yani kama ume zoom out inakua shida kutumia msaada wadau
Wale wanaotumia mac mimi nimeshachakachua os lion kutoka kwa the pirate bay unadownloadi na kuiweka kwa mac yako kwisha kazi kila kitu kinafanya kazi. Hii ni lile toleo la mwisho la developers...
Wadau usiku wa tarehe 7th July 2011 nikiwa naangalia taarifa katika luninga TBC walikuwa wakionyesha mabanda na kuwahoji watumbalimbali.
Kukawa na mkurugenzi anatangaza bidhaa zake moja ya...
Terrafugia
Terrafugia's Transition roadable aircraft, shown here in an artists' rendering, has cleared regulatory hurdles that make it street legal.
By John Roach
A flying car is being...
mods jana mmeongea na bbc kuhusu watu ku-hack jf mara 100 kwa siku
tunaomba mtujuze wanafanyaje??nataka kuwa hacker na mimi nisumbue watu kwenye ulimwengu huu wa technologia
nimenunua line mpya ya tigo iliyosajiliwa nimeiwekea kifurushi cha wiki nikiiweka kwenye modem na ku connect inaniambia connection terminated. Tatizo kama hili linasababishwa na nini?
Jama nilifanikiwa kufungua Blogspot yangu na nikafanikiwa kuiweka hewani ila sasa nataka nibadilishe blogspot (something.blogspot.com kama mfano) so naomba kwa anayefahamu anisaidie coz nimejaribu...
Wakuu kwa hii Thread ya kiranja mkuu ni hatari usijaribu ukiingia ujue umeharibu computer yako!Mzee invisible hii mimi nilishaipata katika 4shared ninomatupu bora ufute hiyo thread kwani watakao...
Naomba msaada wakuu, nini run Internet business, msimamizi amekua akinipiga bao mbaya kabisa kuhusu mapato, nimeweza kumdhibiti kwenye maeneo mengi sasa tatizo nililonalo ni je? kuna software...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.