Chief Lugina
JF-Expert Member
- Jul 1, 2011
- 286
- 76
Welcome to the world of Opensoure. Plz watu wanahama kutoka kwenye takataka Windows. Plz kama kuna swali au tatizo kuhusu Linux mda ndiyo huu!
Mkuu hwa hawana longo longo nenda kwenye site yao na pakuwa bure kabisaa Download | UbuntuJombi hiyo kitu Sijawahi kuitumia kama unayo mkuu nitumie.
unaita windows takataka?naamini bila hyo wabongo wasingejua ku2mia cmptr,(hawatajua pia)!Welcome to the world of Opensoure. Plz watu wanahama kutoka kwenye takataka Windows. Plz kama kuna swali au tatizo kuhusu Linux mda ndiyo huu!
mkuu nipo safarini nikifika tu .nakugongea thnx na feedback.Mkuu hwa hawana longo longo nenda kwenye site yao na pakuwa bure kabisaa Download | Ubuntu
Jaribu 10.04...ipo stableMkuu juzi kati niliinstall ubuntu 11.04 lakini kutokana na lappy kupata matatizo ikabidi niiformat upya nikaitoa, soon ninampango wa kuirudisha niliipenda sana sema ilinisumbua kuistall evdo cdma modem yangu ya sasatel.Hebu nipe ushauri ni version gani nzuri kwa beginer ili nianze nayo maana hii 11.04 inaonekana bado ngeni sana kwa wengi
Jaribu 10.04...ipo poa piaMkuu juzi kati niliinstall ubuntu 11.04 lakini kutokana na lappy kupata matatizo ikabidi niiformat upya nikaitoa, soon ninampango wa kuirudisha niliipenda sana sema ilinisumbua kuistall evdo cdma modem yangu ya sasatel.Hebu nipe ushauri ni version gani nzuri kwa beginer ili nianze nayo maana hii 11.04 inaonekana bado ngeni sana kwa wengi