kwa yeyote anayefaham jinsi ya ku-rename permanently song details kwenye simu kama vile song name, artist, genre, year n.k! Au kama kuna app ya aina hiyo basi anisaidie! Natumia nokia 5320...
Mobile Tech for Cooking and Security
A Young Kenyan uses his phone to start cooker, security lights, trap mice...!
A young man in Eldoret has developed ingenuous ways of making his life...
Jamaa yangu mmoja amekosea kujaza info yake katika facebook, ametaka nimsaidie kuiweka sawa, nimemwambia anipe password kanipa, email, anasema yy anatumia namba ya simu hatumii email, sasa kwenye...
kwa wale wapenzi wa games..leo ningependa tushirikishane juu ya online games, kwa upande wangu mimi ni mpenzi mkubwa sana wa hizi games kama CITY VILLE NA EMPIRE AND ALIES (za kwenye facebook) pia...
Naomba msaada juu ya email ya yahoo. Tangu yahoo waje na huu mwonekano mpya nashindwa kabisa kuingia kwenye inbox. Naweza kusign in vizuri lakini nikibonyeza inbox inarudi kwenye sehemu ya kusign...
wadau wa technology heshima kwenu.NINA PRINTER YA LEXMARK 2600,ILIISHA WINO NIKA RE-FILL LAKINI BAADA YA KUZIPACHIKA KATIKA PRINTER HAISOMI WINO NILIO UJAZA IT KEEPS SAYING 'your ink catrige is...
Wanajamii naombeni msaada wenu katika hili suala, ninataka kutengeneza web based application ambayo inaweza ikatumika katika secta za elimu especially vyuoni, nataka iwe the best, sasa nilikuwa...
SASA TANZANITE ILIGUNDULIWA NA MTANZANIA NA HATIMAE WANANCHI WAMUONA LIVE... NIMEONA TUSHIRIKIANE KWA PAMOJA KUMUONA
BOFYA HAPA KUONA NA KUSOMA HABARI ZAKE ZAIDI
Siku za karidbuni nimeona kuna threads nyingi zinaanzishwa na scammers.
Cha Kushtua zaidi baadhi ya thread walizoanzisha scammers hapa zinagongewa like . Hii inaonyesha kuna watu wanaweza...
Wakuu hamjambo wote?,naombeni msaada wenu wa kimawazo na pia kiufundi nahitaji kuanzisha mradi wa kusambaza/kugawa chaneli mtaani ni nini ninachohitaji kuwa nacho ili niweze kuikamilisha master...
Wataalamu wa IT naomba kufahamu hivi IPAD ndio kitu gani na kina kazi gani maana wanasema MH ZITTO ndio mmbunge wa kwanza kutumia bungeni na gharama yake ni shillingi ngapi?shukrani wakuu.
Habari jf.Nime uninstall firmware ya modem yangu tatizo linalopelekea modem kutoonekana ktk pc yangu.Kwa yeyote mwenye firmware hiyo naomba anifanyie attachment kwenye thread hii.Thnx
Please kwa yeyote anayejua machine za kuprint mabango,graphics,kalenda,brochurers t-shirts katika size mbali mbali,plz naomba aniambie zinaitwaje na zinapatikana wapi hapa bongo. Pia kama kuna mtu...
wadau natafuta iphone, kama kuna mwenye connection na hizi bizness anijulishe bei ya iphone 3gs na 4gs kwa hapa bongo na kwa nje ya bongo ninaweza kuagiza vipi.... naomba mawazo ni kwa jinc gani...
Wanajamii hasa wataalamu wa Computer.
leo asubuhi nimewasha laptop yangu Dell Inspiron 1545, inawaka vizuri lakini baada ya sekunde kumi resolution inakuwa mbaya sana kiasi kwamba sioni kitu...
Wakuu poleni na majukumu, kuna mshikaji ameniuzia Blackberry Bold, sasa nataka nisevu email adress yangu lakini nashindwa maana yeye alishasevu ya kwake, na yeye ameshakwenda ughaibuni bado...
Assalam alaikum wana jamvi nawatikieni ijumaa kareem na mfungo mwema wa ramadhani unaokuja,tafadhali naomba nipate jibu la swali langu jana nimetumiwa msg na line ya tigo kwenye simu yangu ya voda...
Wadau samahanini mie nashidwa kuelewa kuhusu kuhusu safari za baiskeli hizi mbili nnapokuwa naendesha kwenye vumbi naona mwendo unakuwa mkali afu naona nipo kasi ila nnapokuwa kwenye rami nahsi...
Habari waheshimiwa...kutokana na ujuzi wangu mac os nitofauti kabisa na ile ya microsoft..watu wa macintosh wana business philosophy tofauti ya ile ya microsoft. Wakati mac wakiwa wanataka to have...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.