niaje wakuu? salaam sana popote mlipo. swali langu ni dogo tu,nahitaji kununua simu moja kati ya hizo kwaio nahitaji kufahamu ipi ni the best interms of internet capabilities,applications etc...
Heshima yenu wakuu!
Tafadhalini naomba kwa mwenye ufahamu anisaidie hili, nataka kuunganisha Huawei modem kwenye Laptop yangu, inatumia OS ya Window 7! Nimejaribu hii Modem kwenye Window XP...
iOS 5 was unveiled at WWDC earlier this week and introduced a ton of new features to the iPhone, iPad and iPod touch. Some of the key highlights included a new notifications center, WiFi...
Waging standard wars is one of those annoying, but unavoidable flaws in todays setup of the technology industry. In a perfect world, there would only be one standard defining a technology, but...
naomba kujua how to connect blackberry phone in my case 8520 via bluetooth to my laptop so that i can use it to access internet using the same data plan for this blackberry,ninatumia data plan ya...
Ijulikane kuwa hii ndio the best Database kwa sasa hivi.Kama umetumia Oracle utakubaliana na mimi.
Je watanzania tuna watu wenye ujuzi wa administration,developing kwenye Oracle? Siku za karibuni...
Apple yafungua AppStore Tanzania
Bendera ya Tanzania, chini kulia ikithibitisha kuwa hii ni Appstore ya Tanzania
Kwa muda mrefu sasa tumepunguza kasi ya kuandika makala mpya kwa...
E.A COMBINED • View topic - ANONYMOUS HACKERS arrested!??
More than a dozen individuals believed to be linked to the hacktivist collective Anonymous were arrested this morning in a sting...
Habari ya wkend wakuu?
Ninatumia simu aina ya samsung A877 AT&T
Sasa nimejiunga na hii huduma ya Dstv mobile,lakini huduma hii siipati vizuri inaonyesha hizi TV kwa shida sana inakatika mno...
Nimekuwa nikijiuliza sana kuhusu ufanyaji kazi wa hivi vitu naona kama zinafanana.kwamba kila kimojawapo inawezekana kinatumiwa mawasiliano ya kipekee na provider wa huduma tofauti na matangazo...
Kuanzia siku tatu zilizopita nimekuwa nikipokea emails za ajabu ajabu toka kwa ndugu na marafiki wanaotumia Yahoo. Wao wanasema hawajatuma hizo messages. Inaonyesha labda password zao zimekuwa...
As of today, this monitor is now officially revealed by the company re-branded as "Apple Thunderbolt Display".
On a nutshell, this device works just like any other monitor but of course, it has...
habari za j,pili ya leo wana jf.natumai mpo salama kwa uwezo wake yeye aliye tuumba.jamani mimi flash disc yangu imekumbwa na tatizo hili.
msaada wenu tafwadhari.
Source: E.A COMBINED • View topic - Fake Apple Store spotted in China
Fake Apple Store spotted in China
Fake Apple Store with fаke Apple products wаs spоtted in China...
Habari ya J3 wakuu.
Nahitaji Battery ya Lenovo N200 haraka iwezekanavyo. Kama unayo, au kuna mdau unamfahamu anayo tafadhali tuwasiliane.
Ukini-PM inakuwa vizuri pia.
Asante.
Wakuu naombeni msaada, CD-ROM ya computer yangu haisomi CD ya aina yoyote. It happened kwamba mtu aliweka DVD chafu, then from there hafanyi kazi.
Ukiweka CD inarespond kama kawaida, taa inawaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.