KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Wakuu hamjambo wote?,naombeni msaada wenu wa kimawazo na pia kiufundi nahitaji kuanzisha mradi wa kusambaza/kugawa chaneli mtaani ni nini ninachohitaji kuwa nacho ili niweze kuikamilisha master control room kwa kuanzia kwanza nahitaji kuwa na chaneli 15 za kuanzia na umbali ninaotarajia kusambaza ni kama kilometa tano. Naomba michango yenu kwa hali na mali ili niweze kulifanikisha zoezi hili.