Mtazamaji hebu tumia mifano hai
mfano tv kama clouds tv hivi
teknolojia pale ni ipi?gharama za vifaa?
Hapa bongo makampuni gani yanaweza kuwa na ujuzi na gharama nafuu?????
Sijui kama nimemsoma vizuri vizri huyu jamaa yeye anasema anataka kusambaza . So ina maana project yake ni complex kidogo kwa uelewa wangu. Ingekuwa antaka
kurusha tu matangazo free to air ( FTA) kama TVT, ITV. ni rahisi kidogo. Akisema kusambza maana yake anataka kuwa na kama ka DSTV version kake.
Kuhuusu gharama sijui na sina data wa kweli nimewahi kujifunza technical side ya television wakati nataka kujua uwezekano wa kuchakachua DSTV. Nilifanikiwa kwa siku chache lakini walivyobadilisha encryprion ndo basi.
kwa uelewa wangu mdogo Nadhani kuwa na station iwe na radio au TV cha kwanza uchohitaji ni
Transimitter. hii ni assumpation kuwa TCRA hatakupa vikwazo na masafa yatakuwepo. Sasa uwezo wa trasmiter inategemea pia aina ya kituo chako. Then kuna vitu kama
amplifier. Vituo vingi karibu vyote vya radio na televion vina amplifier na retrasmiter station zao
Kisarawe. Kama havina hata kusikika darzima ni kazi.
Kwa huyu jamaa anayoonekana satelite is not an option kwake hata ingekuwa ni option nadhani gharaa yek ni kubwa sana.
Kama akiamua yeye wateja wake watapata matangazo kwa
cable requirement na vifaa atavyohitaji vinaweza kubadilika na may be gharama.
TV kama , TVT, startv ITV Clouds ni free to air channel . na hizi zote kuna sehemu kule kisarawe zina maeneo. Sababu wameamua kurusha matanagazo yao through air na wanahitaji yaende mbali zaidi inabidi pia wawe na vituo vya kuamplify.( Sina uhakika na clouds kama Nao wana kituo kisarawe)
Anywa siku nyingi nimekula hii shule naweza kuwa nimekosea anyone might correct me.