Ginner
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 1,459
- 1,832
Habari waheshimiwa...kutokana na ujuzi wangu mac os nitofauti kabisa na ile ya microsoft..watu wa macintosh wana business philosophy tofauti ya ile ya microsoft. Wakati mac wakiwa wanataka to have a full controll of their products kuanzia kuunda pc's zao wenyewe na zenye OS yakwao wenyewe windows wao wamekuwa na business philosophy inayo sisitiza partnership kwenye biashara na hii ndo sababu brand tofauti za computers huwa zina kubali kuwa loaded na windows na other operating systems...kutokana na restriction hii ya wana mac..ningependa kufahamu ni jinsi gani computer technicians and hackers wanavoweza kuinstall MAC oS kwenye brand nyingine za pC's including dell au toshiba