Dell Inspiron 1545 resolution problem

Dell Inspiron 1545 resolution problem

Manyanza

Platinum Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
19,965
Reaction score
45,623
Wanajamii hasa wataalamu wa Computer.
leo asubuhi nimewasha laptop yangu Dell Inspiron 1545, inawaka vizuri lakini baada ya sekunde kumi resolution inakuwa mbaya sana kiasi kwamba sioni kitu kabisa, na nikiizima inapozima resolution yake inakua nzuri kama kawaida, sijajua tatizo nini lakini 2 weeks ago ilianguka.
naomba msaada wenu wadau kazi zangu zote zimesimama.
 
Wanajamii hasa wataalamu wa Computer.
leo asubuhi nimewasha laptop yangu Dell Inspiron 1545, inawaka vizuri lakini baada ya sekunde kumi resolution inakuwa mbaya sana kiasi kwamba sioni kitu kabisa, na nikiizima inapozima resolution yake inakua nzuri kama kawaida, sijajua tatizo nini lakini 2 weeks ago ilianguka.
naomba msaada wenu wadau kazi zangu zote zimesimama.

Nadhani unachangaya mambo mawili resolution inapimwa kwa pixel na screen.

Unaposema ukiiziama resolution yake inakuwa nzuri sikuelewei. Ukiizima kompyuta yeyote screen resolution inakuwa off. so haiwezi kuwa nzuri .Ukiwasha kama kompyuta ina drivers sahhii screen resolution inaweza kuwa nzuri tu eg 1280 X 800 pixel au zaidi

Kama ulindondosha basi lazima kuna kitu kinachohuhusiana na monitor kiko Loose.

So tatizo lako laweza kuwa ni hardware na sio software au drivers. Kulitatua inabidi utafute mtaalam afungune acheki.

Kwa majaribio kabla ya kutafuta fundi tafuta monitor ya computer au projector. I ugansihe na laptop

  • ikionyesha vizuri basi tatizo litakuwa screen ya laptop tu ndio imekorofissha
  • Isiponyesha hata wenye projector au external monito basi tatizo VGA hardware ya laptop imeroga.
 
Nadhani unachangaya mambo mawili resolution inapimwa kwa pixel na screen.<br />
<br />
Unaposema ukiiziama resolution yake inakuwa nzuri sikuelewei. Ukiizima kompyuta yeyote screen resolution inakuwa off. so haiwezi kuwa nzuri .Ukiwasha kama kompyuta ina drivers sahhii screen resolution inaweza kuwa nzuri tu eg 1280 X 800 pixel au zaidi<br />
<br />
Kama ulindondosha basi lazima kuna kitu kinachohuhusiana na <b>monitor</b> kiko Loose. <br />
<br />
So tatizo lako laweza kuwa ni <b>hardware</b> na sio software au drivers. Kulitatua inabidi utafute mtaalam afungune acheki.<br />
<br />
Kwa majaribio kabla ya kutafuta fundi tafuta monitor ya computer au projector. I ugansihe na laptop<br />
<ul><li>ikionyesha vizuri basi tatizo litakuwa <b>screen ya laptop</b> tu ndio imekorofissha</li><li>Isiponyesha hata wenye projector au external monito basi tatizo <b>VGA hardware</b> ya laptop imeroga.</li></ul>
<br />
<br />
You are right lakini displays za LCD si rahisi kuharibika kwa impact ndogo hisiyo zidi 2G. Ushauri wangu acheck Graphic adapter connectors au daughter board ya adapter yenyewe inaweza ikawa hiko loose kidogo au ikawa na hair crack ambayo hawezi kuiona with a naked eye bila ya kutumia a magnifying glasr
 
Back
Top Bottom