G M S
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 502
- 53
Wadau samahanini mie nashidwa kuelewa kuhusu kuhusu safari za baiskeli hizi mbili nnapokuwa naendesha kwenye vumbi naona mwendo unakuwa mkali afu naona nipo kasi ila nnapokuwa kwenye rami nahsi mwendo hauendi japo speed ya kwenye rami na vumbi ni moja kuna mechanism gani hapa!