BINAFSI NILIPO ZIONA SIGARA HIZI NILISHANGAA SANA LAKINI NI SIGARA ZA KISASA KABISA ZINAZO TUMIA UMEME NA HAZINA MADHARA KIAFYA.. HII NI HABARI NJEMA KWA WOTE WAVUTAJI..
BOFYA HAPA KUONA SIGARA HIZO
Wadau, hebu nipeni namba ya mtu au dealer ukiacha CMC Automobile, anaeuza spares za Ford hapa Dar. Unaweza pai kunipa namba ya fundi wa magari models za FORD; Ranger, Focus ama Everest...
Je, unajua kwamba inaweza kuzungumza na Kikokotoo chako?
Jaribu hii: ingiza namba 0.1289 na uizidishe kwa 6. Jibu litakuwa ni ni 0.7734. Sasa geuza kikokotoo chako juu-chini na kikokotoo...
Samahani wadau mi nimenunua modem ya voda juzi na kila nikitumia nachukua laini naweka kwenye simu najiunga na internet kwa elfu mbili inawahi sana kuisha afu kila nikitaka kudownload naishia...
The begging of the end.
The Metropolitan Police's Central e-Crime Unit arrested an 18-year-old at an address in Scotland's remote Shetland Islands, the force said in a statement. His name wasn't...
kuna app fulani niki-install inakubali ila nikiifungua inatokea "system error". Simu yangu ni nokia 5320 xm! Naomba msaada wenu wakuu apps ni muhim sana!
Jamaniii apple has released iOS 4.3.5 do not update or u will loose your jailbreak, iOS 4.3.5 is available for jailbreak only tethered....so don't update jus remain at 4.3.3 i udated and got a...
Habari zenu wapendwa! Nauliza wapi nitaweza pata Genuine USB TV Tuner kwa Arusha au Dar? Na zinauzwa kwa bei gani kwa pesa za kitanzania? Naomba kuwasilisha!
Wana JF nimejikanza nimenunua Used Iphone 3 sasa naomba Software ya Itune kwa mwenye nayo niweke kwenye computer yangu niweze kuweka music
Asanteni
OP, a.k.a Farasi bubu
salam wakubwa,
nimekua nikihangaika kupata web.nzuri ya ku-download moviez kwenye laptop yangu bila mafanikio. U-tube wananipa vipande vya moviez. Naombeni msaada especially wa ku-download series...
Wakuu,kumbe hapa bongo hakuna chuo chochote kinachofundisha ICT kwa distance learning.Hii si itasanbabisha maendeleo ya ICT kutofikiwa haraka tz
Au labda mimi sijui,lakini watu wengine...
Wanajamii naombeni msaada wenu katika hili suala, ninataka kutengeneza web based application ambayo inaweza ikatumika katika secta za elimu especially vyuoni, nataka iwe the best, sasa nilikuwa...
Samahani kwa kupost late but I hope Uta keep it on your reminder so that mwakani utaikumbuka
System Administrator Appreciation Day
For more Information about System Administrator Appreciation...
hello guys..
hope u good
haya sasa offer kabambe, hurry up. get official key ya tuneup utilities for free
simply enter ya mail and follow instructions..
enjoy!!
for people who does not...
Kwa masystems administrator je unazifahamu na kuzifuata hizi code of ethics? Kama huzifahamu ni hizi hapa chini kama huzifuati jitahidi kuzifuata.
https://lopsa.org/CodeOfEthics
Wakuu, mnaweza mkaona ni swali la ajabu na la kitoto, lkn tafadhali sana naomba mnifundishe jinsi ya ku-upload files, pics, video, website links, n.k humu jamvini. Natanguliza shukrani
Habar wataalamu!Nina Programu ya Pinnacle studio 10 kwenye PC yangu.Tatizo kila ninapofanya project fulani inashindwa ku save files ambazo zipo tayari kama kazi.Badala yake inaweka ka alama kadogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.