Msaada Jinsi ya kutumia Blackberry.

Msaada Jinsi ya kutumia Blackberry.

Dr Matola PhD

Platinum Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
61,493
Reaction score
108,831
Wakuu poleni na majukumu, kuna mshikaji ameniuzia Blackberry Bold, sasa nataka nisevu email adress yangu lakini nashindwa maana yeye alishasevu ya kwake, na yeye ameshakwenda ughaibuni bado sijapata mawasiliano yake wala hajanijibu emails zangu, sasa msaada ninaoomba ni jinsi ya kudelete ile email yake kwenye yahoo messenger na BB messenger ili niweke email yangu.
Natanguliza Thanks.
 
Wakuu poleni na majukumu, kuna mshikaji ameniuzia Blackberry Bold, sasa nataka nisevu email adress yangu lakini nashindwa maana yeye alishasevu ya kwake, na yeye ameshakwenda ughaibuni bado sijapata mawasiliano yake wala hajanijibu emails zangu, sasa msaada ninaoomba ni jinsi ya kudelete ile email yake kwenye yahoo messenger na BB messenger ili niweke email yangu.
Natanguliza Thanks.

Sijui kama haya maelezo hapa chini yanaweza kukusaidia, maana unahitajika kuweka username yako una Password ya E-mail unayotaka kui-remove.... Ebu fuata haya maelezo hapa chini kama yanaweza kukusaidia.....

Use the trackball to highlight the "E-mail Setup" icon on the home screen.

emailadd.jpg



2 Click the trackball to open the setup and your web browser, where you'll have multiple email options. (Ensure you're connected to your 3G wireless connection to delete your email.)



3 Use the trackball to highlight and click on the "Email Accounts" link to view a list of the email accounts registered to your phone.

emailadd1.jpg


4 Highlight and click on the email account you'd like to delete by using the trackball. This opens a new page where you'll have the option to delete the account from your phone.
emailadd2.jpg


5 Click on "Delete" with the trackball. Confirm the deletion when a dialog box prompts you to.



 
Lazima ulipie BlackberyInternetService kuweza fanya email setup
 
mkuu hiwipe ufute info zote za user wa 1 alafu uanza upya nayo kisha upeleke tgo or vda ulipie
 
wakuu .... nina blackberry Storm 9530 ....je ninaweza kupata internet kwa kutumia WAP
 
mkuu hiwipe ufute info zote za user wa 1 alafu uanza upya nayo kisha upeleke tgo or vda ulipie
Mkuu Doctor phone kuwipe ndio nini? elewa mpaka nimekuja kuomba msaada hapa mimi nimecheza nayo nikashindwa sasa naomba msaada wa hatuwa kwa hatuwa kuweza kulifanya hilo. kulipia sio shida kwangu.
 
ni cheap ukilipia internet bundle ya mwezi. Mfano Airtel wao wana charge Tshs. 35,000/= while Tigo ni 20,000/= per month (with unlimited dowloads and surfing)
 
Back
Top Bottom