Averos
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 993
- 695
Jamaa yangu mmoja amekosea kujaza info yake katika facebook, ametaka nimsaidie kuiweka sawa, nimemwambia anipe password kanipa, email, anasema yy anatumia namba ya simu hatumii email, sasa kwenye computer yangu sioni hiyo option ya kuingiza namba ya simu, nafanyeje kupata access ya acount yake?