Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Katika vifaa vya umeme wa solar...kuna kampuni nyingi sana zinatengeneza hivi vifaa ikiwamo panel battery radio tv taa pasi friji.. ... Moja ya kampuni ambavyo vifaa vyake vipo chini ni:- 1...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za leo wakuu? Nime Google namna ya kuunda Gaming pc nkaona labda nitaweza lakini kwa hapa TZ sijui ugumu wake utakuwaje kwasababu ya upatikanaji wa vifaa. Nina malengo ya kuunda Gaming pc...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya kusoma sana prons and cons ya kuroot nimegundua wengi wanaojuta baada ya kuroot huwa wana delete system file la simu sasa kwa hiari yangu bila ya kushawishia na mtu nataka kuroot simu...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
KAMPUNI ya simu ya Halotel imetoa awamu ya kwanza simu 25 za mkononi kwa wenye ulemavu wa ngozi jijini Arusha kwa ajili ya kurahisisha mawasiliano pindi watakapovamiwa na watu wanaowawinda ili...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hii kitu kuiweka kwa mtu inatakiwa uwe na kiasi gani cha hela je utapata bando la internet bure au unalipia
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Huku mtandao ukitawaliwa na picha chungu nzima ,mtandao wa Facebook unazindua mbinu ambayo inaweza kuzisoma picha na kuwaelezea watu walio na ulemavu wa macho kile kilichomo katika picha hiyo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau ningependa kujulishwa namna bora ya kufunga vifaa vya solar kwa matumizi ya kawaida(Taa 1, Radio 1, Mashine 1 ya kunyolea nywele, Simu1). Nina Solar Panel ya 40WATTS, Inverter ya...
0 Reactions
12 Replies
12K Views
Wakuu kwanza habari zenu...Google play store yangu niki-dowload app inadowload ikifika asilimia 90 au 98% inastop (yani inaganda ivyo ivyo) then ata ile notification ya kuonyesha kwamba...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kichwa kinyojieleza nataka install sms hide kama vile shady contact lakini kila niweka hiyo app ,napewa ujumbe kuwa app is not allowed nifanyaje ili niweke hiyo app!
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Msaada slow Charging laptop Msaada slow Charging laptop
0 Reactions
0 Replies
545 Views
Naomba msaada jamani laptop yangu inachaj slow sana yaani naweza kuwa naitumia hata masaa matatu mfulululizo lakini bado haijai....natumia dell vostro 1500
0 Reactions
8 Replies
1K Views
32/64bit operating system
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Simu yangu ya tecno M9 imekufa hivyo natafuta mtu mwenye saketi aniuzie ili niweze kubadilisha.
0 Reactions
2 Replies
975 Views
Kwa mnaotumia apps za kuacha voice mail je app ipi ni nzuri?? Ahsanteni
0 Reactions
0 Replies
996 Views
kama nilivoeleza hapo juu. kifupi hiyo cm lg keyboard imestack so nashindwa kuweka password ili niingie. lakini ukipiga emergence keybody inafanya kazi bila shida. nimejaribu hard reset inawaka...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wadau huku niliko internet ya tigo inasoma h+ na wakati huo huo unaweza kua na bundle la mb650 na setting ya internet ktk simu wamekutumia wenyewe lakini inashindwa kufungua application yoyote ktk...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Wadau wa jukwaa la teknolojia, Nataka kufahamishwa kama kuna uwezekano wa kuangalia picha/video inayoonekana ktk simu yangu kwa kutumia screen ya laptop. Nadhani nimeeleweka.
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Kuna watu wanapiga sana pesa kupitia kuwatengenezea watu cartoon photos unakuta mtu anampiga mwenzie hata elfu 3000 kwa picha moja mtu anatumiwa picha na pesa ndo anamtengenezea cartoon photo Hii...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wadau kuna website moja ya marekan nilikuwa najaribu Ku sign up lakini sikufanikiwa kwa kuwa ni lazima uwe ndani ya usa .sasa naomben mnijuze hakuna trick ya kufanya nionekane niko usa ili niweze...
0 Reactions
3 Replies
612 Views
Nahitaji PBX, moderate pricing tafadhali. Kama unauza vifaa vya mawasiliano tuwasiliane tafadhali!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…