Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habarini zenu wadau Nahitaji msaada wa fasta hapa kwa wakali wangu mwenye uzoefu wa mambo ya laptop hardware na software.... Ni hivi nimebadilishana na wife laptops........kanipa yake me nimempa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana JF Nimekuwa nikisupport ofisi mbali mbali za jijini Dar Es Salaam software zifuatazo: 1.Pastel Partner 2.Sage Evolution 3.Sage Payroll 4.Sage HR 5.ERP Tally Yeyote anayetaka kujifunza...
0 Reactions
0 Replies
722 Views
WhatsApp ndio App inayotumika sana katika kutuma na kusoma meseji. Uzuri wa App hii ni kwamba ni rafiki kwa watu kwani ni rahisi sana kuitumia. Kwa hili watu wanaipenda lakini vipi kama ukiwa...
1 Reactions
1 Replies
47K Views
Dunia inabadilika jamani! Chuo cha Georgia Tech kilichopo Atlanta Marekani sasa kinatoa Masters ya Computer Science kupitia mtandao kwa takribana $7,000 tu, bei ya kaiwaida ("campus") ya Degree...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimewavulia Kofia China kudadadek aisee nais baada ya miaka 10 kama hii mambo ya Copy generation Itaendelea nais itaua soko la hizi kampuni kubwa.China wametoa Simu aina ya Meizu Pro 6 (Copy ya...
2 Reactions
20 Replies
7K Views
Hii canon IR2018 photocopy/printer/sccaner ni mpya ila ushamba kazi! Nimenunua na cartridge ambayo kwenye manual ina jina la "drum unit" ila baada ya kusoma vizuri manual na kuangalia machine...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naombeni kujua namna ya ku upgrade window 7 kwenda 10 for free. Mahitaji yake ilinifanikiwe. Mwaka jana nilikuwa naona alert ya preparation ya PC yangu kuja kuwa window 10 siku hizi hata sioni ile...
0 Reactions
1 Replies
856 Views
ni mtandao gani wenye gharama nafuu zaidi zaidi hapa nchi Tanzania na wenye kasi inayo ridhisha kwa matumizi ya kupiga simu na kuperuzi na kupakua vitu mbalimbali kutoka mtandaoni?
2 Reactions
46 Replies
7K Views
Kwa wale wajuzi wa hizi issue naombeni.mnisaidie kama kuna mtu anaweza kunisaidia kuhack akaunti ya mtu anayenisumbua nipate tu namba ya muhusika ya simu naomba anisaidie Hata ikiwezekana mnipe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtoto amechezea simu app ya meseji siioni hivyo siwezi kutuma wala kupokea sms. nimejaribu ku download app nyingine ila hazifanyi kazi vizuri. Naomba kujua namna ya ku recover ya zamani.
0 Reactions
18 Replies
6K Views
juzi nilinunua vocha ya elfu 3 ya halotel moja nikajiunga kifurushi cha chuo na 1500 nikajiunga unlimited bundle cha usiku pack nikaja kuangalia salio kwenye unlimited bundle wakanambia ndugu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Simu feki zinapingwa duniani kote Kila mtu anafahamu kwamba mwezi wa 6 mwaka huu, wametangaza kuzizima simu zote feki Tanzania, imeleta utata sana ukizingatia kwamba asilimia kubwa ya watanzania...
4 Reactions
17 Replies
4K Views
Wakuu habari zenu nijuzeni nivjibsi gani naweza unlock Vodafone mobile broadband yaani kuiruhusu itumie mitandao yote wakuu.. Natanguliza Shukrani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa yeyote mwenye keys za Lightroom 5 naomba anisaidie kwa kuziweka hapa asanteni
0 Reactions
0 Replies
721 Views
wataalam kati ya note4 na tab s 10.1 nimepata zote kwa sawa,hapa nipo njia panda je mnanishauri ninunue ipi
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu je kuna apps ya kuniwezesha kuandaa Curriculum vitae CV kwa njia ya simu? Natumia android hiyo cv nataka iwe katika format ya pdf
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Je niandae GB ngapi za data kufanya hii tukio..?
1 Reactions
6 Replies
896 Views
Extracted From the recent news alert from TCRA (March 19, 2016) Kuhusu maendeleo ya sekta, (Dr. Simba) alisema hadi Desemba 2015, idadi ya laini za simu za mkononi ilikuwa 39,808,419 ukilinganisha...
1 Reactions
35 Replies
18K Views
Habari wakuu? Ningependa kujua juu ya hii whatsapp encryption na utendaji wake wa kazi na unaweza itumiaje?
2 Reactions
11 Replies
4K Views
Back
Top Bottom