KAMPUNI ya simu ya Halotel imetoa awamu ya kwanza simu 25 za mkononi kwa wenye ulemavu wa ngozi jijini Arusha kwa ajili ya kurahisisha mawasiliano pindi watakapovamiwa na watu wanaowawinda ili...
Huku mtandao ukitawaliwa na picha chungu nzima ,mtandao wa Facebook unazindua mbinu ambayo inaweza kuzisoma picha na kuwaelezea watu walio na ulemavu wa macho kile kilichomo katika picha hiyo...
Wadau ningependa kujulishwa namna bora ya kufunga vifaa vya solar kwa matumizi ya kawaida(Taa 1, Radio 1, Mashine 1 ya kunyolea nywele, Simu1).
Nina Solar Panel ya 40WATTS, Inverter ya...
Wakuu kwanza habari zenu...Google play store yangu niki-dowload app inadowload ikifika asilimia 90 au 98% inastop (yani inaganda ivyo ivyo) then ata ile notification ya kuonyesha kwamba...
Kama kichwa kinyojieleza nataka install sms hide kama vile shady contact lakini kila niweka hiyo app ,napewa ujumbe kuwa app is not allowed nifanyaje ili niweke hiyo app!
Naomba msaada jamani laptop yangu inachaj slow sana yaani naweza kuwa naitumia hata masaa matatu mfulululizo lakini bado haijai....natumia dell vostro 1500
kama nilivoeleza hapo juu. kifupi hiyo cm lg keyboard imestack so nashindwa kuweka password ili niingie. lakini ukipiga emergence keybody inafanya kazi bila shida.
nimejaribu hard reset inawaka...
Wadau huku niliko internet ya tigo inasoma h+ na wakati huo huo unaweza kua na bundle la mb650 na setting ya internet ktk simu wamekutumia wenyewe lakini inashindwa kufungua application yoyote ktk...
Wadau wa jukwaa la teknolojia,
Nataka kufahamishwa kama kuna uwezekano wa kuangalia
picha/video inayoonekana ktk simu yangu kwa kutumia screen ya laptop.
Nadhani nimeeleweka.
Kuna watu wanapiga sana pesa kupitia kuwatengenezea watu cartoon photos unakuta mtu anampiga mwenzie hata elfu 3000 kwa picha moja mtu anatumiwa picha na pesa ndo anamtengenezea cartoon photo
Hii...
Wadau kuna website moja ya marekan nilikuwa najaribu Ku sign up lakini sikufanikiwa kwa kuwa ni lazima uwe ndani ya usa .sasa naomben mnijuze hakuna trick ya kufanya nionekane niko usa ili niweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.