SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,990
- 2,669
Naomba msaada wa maelekezo namna ya kutatua hilo tatizo la drivers kwenye pc ( dell latitude d630 )
Chief-Mkwawa
Mwl.RCT
kcamp
Chief-Mkwawa
Mwl.RCT
kcamp
Naomba msaada wa maelekezo namna ya kutatua hilo tatizo la drivers kwenye pc ( dell latitude d630 )
Chief-Mkwawa
Mwl.RCT
kcamp
Poa poa kiongozi nimesha zunguka sana mitandani nao mb zinaenda tu suluhu sipati.Nenda official website ya dell.
search drivers za aina ya PC yako (kama ni laptop au PC).
Angalizo. Drivers za computer pia upatikana kulingana na region uliko nunua hiyo computer yako (Note hii). Kama ulinunua Europe/ America/Asia etc search kwa kuzingatia official website ya dell ulikonunulia laptop/PC yako.
Mfano: kama umenunua England www.dell.uk, Kama ni Sweden www.dell.se etc
Utapata hizo drivers free.
Kwa nyuma kuna label imeandikwa made in malaysia.Nenda official website ya dell.
search drivers za aina ya PC yako (kama ni laptop au PC).
Angalizo. Drivers za computer pia upatikana kulingana na region uliko nunua hiyo computer yako (Note hii). Kama ulinunua Europe/ America/Asia etc search kwa kuzingatia official website ya dell ulikonunulia laptop/PC yako.
Mfano: kama umenunua England www.dell.uk, Kama ni Sweden www.dell.se etc
Utapata hizo drivers free.
Kwa hiyo chief hapo kwenye Adb katika simu inatakiwe iwe katika recavery mode au naiwekaje on mkuu?hio adb make sure umeieka on kwenye simu ndio itafanya kazi kwenye pc na hio biometric mpaka udownload driver yake kama ni finger print au iris nk toka site ya dell.
http://www.dell.com/support/home/us/en/04/product-support/product/latitude-d630/drivers[/url
Kwa hiyo chief hapo kwenye Adb katika simu inatakiwe iwe katika recavery mode au naiwekaje on mkuu?
haina, ila adb inayoLabda nielezee kwanini hizo drivers zinanipa shida.
Ninachotaka kukifanya ni ku fanya backup ya ROM ya simu yangu kwa kutumia MTK Droidtool. Ili badae nije nitumie Sp flash tool ku flash simu yangu endapo itazingua maana kwasasa ipo rooted.
Swali langu ni jee Hiyo driver ya biometric comprocessor ina uhusiano wowote na kazi ninayo taka kuifanya?
Chief-Mkwawa