Wajameni nina simu tajwa hapa juu tatizo lilioko nikiiwasha inanasa kwenye logo ya Tecno na haiendelei..
Tatizo limetokea baada ya monkeytest kuingia kwenye simu yangu...
Msaada wakuu...
Wakuu habari za mida hope mu wazima
Naomba kuwasilisha kwenu thread hii ambayo tutakua tunasaidiana matatizo mbalimbali yanayohusu IT and Telecomm Field
Nahitaji msaada wenu wakuu, kila nikijaribu kuingia kwenye account ya twitter naletewa haya maneno, CANNOT CREAT ACCOUNT hii shida ni tokea jana, mwenye kujua anisaidie.
Jamani habari zenu wadau wa tec' forums
whatsapp naona wameamua kutoa toleo ambalo litaweza kutumika baada ya kuwa installed kwenye computer zinazotumia windows au Mac Pc'S, sasa naona...
Leo nna furaha sana ku-release hii software ambayo nimeifanyia kazi kwa muda mrefu sasa. A|CSEE Professional ni toleo namba 3.0 ila hii ni Professional Edition kwani ina features nyingi sana zaidi...
Habari la jakwaa,
Nauliza hivi kwa sababu natumia experia z2 nili root ila niki download update ya v6 ambayo ni kama mb968 inamaliza na click install ina reboot ila inafanya kama ina install kitu...
Nimeipenda hii simu na nilisha fanya Order kwa kweli imenivutia kwa kila kitu sijaona sehemu walio bugi hii kwangu ni nzuri kuliko hata samsung S7 na Iphone 6 sijui iphone gani lakini HTC 10...
Naombeni kuuliza wenye uelewa na hizi simu
Nimeuza simu yangu samsung galaxy A3 nikanunua aina hii WIKO HIGH WAY PURE 4G japo hazijaanza sana kuingia hapa nchini zipo chache sana.
Wiko iko...
Natumia simu ya Samsung (s3) sasa kuna kama jicho huwa linatokea juu ya simu karibu na sehemu inaonyesha betri au signal ya network naomba kufahamishwa nini maana yake.
wanajamvi roho inaniuma sana nilifungua channel YouTube tokea mwaka juzi nilihifadhi video umo mbali mbali na lengo vhasa nilikuwa nataka kukieneza kiswahili kwani nilichogundua kwenye mitandao...
Wana JF naomba msaada kwa wenye uzoefu MemoryCard ya Simu yangu inapoteza nafasi ghafla bila hata kudownload chochote na baada ya muda kama siku moja inarudisha nafasi iliyotumika kwa kifupi...
Wana JF naomba msaada kwa wenye uzoefu MemoryCard ya Simu yangu inapoteza nafasi ghafla bila hata kudownload chochote na baada ya muda kama siku moja inarudisha nafasi iliyotumika kwa kifupi
SD...
Habari ndugu wapendwa!
Naomba tena ushauri kuwa window nzuri kuinstal especialy kwa pc aina ya lenovo, ipi inafaa zaidi!?
Lakini pia nilikuwa nimeinstal window 7 ultimate shida yake ni kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.