i had a pc bahati mbaya imepatwa tatzo nahitaji motherboard mpya frm hp but muhimbili ckufanikiwa hvo naomba msaada ka kuna sehemu nyingine mjini dar es salaam
Habari wakuu..
Leo sina Habari njema sana but very Important..
Mamlaka ya Mawasiliano
nchini imetoa tamko la
kufungia simu zote feki ifikapo
tarehe 16, Juni. Je, simu yako
ni miongoni mwa simu...
Heshima kwenu G.Ts
Naomba kufahamishwa jinsi ya kufungua Key Editing Menu kwa model hizi za Wiztech Satellite Receiver:
8030_HD Classic
999_HD
999_HD Super
8010_HD
Natanguliza shukrani.
Kwa wale wanaotumia devices za Blackberry iwe simu ya mkononi au Tablet PC, tafadhali tembelea link ifutatayo Free JamiiForums - Download JamiiForums - Free Apps from BlackBerry App World ili...
Naomba msaada anaejua namna ya kustopisha haya matangazo kozi ni shida mtu uko jf unachat mara 'install battery saver' hujakaa facebook limeziba screen nzima ni kero sasa.
Ebu anaejua add broka...
Baada ya kuhadaa watu kwa muda mrefu na kutengeneza faida ya kufa mtu kwa kutumia teknolojia ambayo wala siyo mpya Kampuni ya Apple inc. sasa imeanza kushtukiwa, watu wameanza kuamka na kujiuliza...
Naombeni msaada kuna simu HTC ONE M8 zilikuja zile updates za kwenye simu sasa katika harakati za kuupdate nilidownload na kuinstall! Baada ya hapo wakati na install simu ikazima ghafla na kuanza...
Nimeroot Simu Yangu Leo, Haina Hata Wiki.
Nimefanikiwa Vizuri Ila Nilipozima Kuichaji, Ile Inataka Kuwaka Ikaja Alama Ya Mshangao Ya Njano Na Maandishi Juu Yake; Custom Binary Blocked By Fpa...
Mtandao maarufu wa picha duniani instagram wenye watumiaji zaidi million mia tano dunia nzima umetambulisha muonekano mpya siku ya Jumatano may 11,2016.
Katika muonekano huo mpya aplikesheni hii...
Heshima kwenu wadau.
Naomba kujuzwa wanapouza original betri za simu aina ya lenovo a806 kwa Dar naomba mnielekeze.
Nimejaribu kutazama online mpaka itumwe naona ni process hivi kiasi tha's...
wapendwa ni wapi nitampata fundi au karakana ya mafundi wa vifaa vya umeme hasa upande wa mfumo wa sauti.
Walio na uwezo wakuagiza kifaa kama hapa bongo hakitapatikana kwa ajili yakukibadilisha na...
Kuna maswali mengi sana mitaani watu wakisema mwezi wa sita simu feki zitazimwa.
Kitaalamu na kiuhalisia TCRA hawataizima simu iliyo feki, na si kwamba simu iliyokuwa imewashwa itazimika na kuwa...
wanausalama wa mambo ya mitandao wanaelewa hii janja inayoitwa "SQL injection". sasa kwa taarifa tu ni kwamba lile sakata la panama papers liliibuliwa baada ya njia hii kutumiaka kuingilia...
Heshima kwenu wakuu
Nina Music System aina ya Sony toleo la zamani ambazo hazina usb port ila inacheza tape za kawaida na dvd
Nauliza kama naweza kupata fundi wa kuimodify kwa kuiwekea usb port...
Baada ya kuinstall ile app ya tracking sasa naleta mrejesho na maoni yangu juu ya app hii.
Nazidi kusisitiza kua app hii si ya kuitumia kimzaha kwani inaweza ikakuletea matatizo kadhaa ikiwepo...
WAKUU SALAMU
Nina shida inanisumbua takribani wiki sasa nina PC HP, tatizo nililo nalo ni hili
Nikiwa kwenye word document, nikitaka kuedit maneno, nikichukua cursor nikaweka katika ya maneno...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.