Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Voucher zimeisha shukrani kwa wote walionunua, wengine mnaotaka hizi voucher contact munjy1 normal prices kwa each voucher ni 9,500.
6 Reactions
27 Replies
4K Views
hello all, nina Computer Lab mpya ina users kama 50 nataka kutumia Thin Client badala ya kutokununua PC zote 50. Nishaurini njia nzuri ya kutumia, nikipata option zaidi ya moja nitashukuru.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini nina simu yangu htc one m9 lakini tatizo lake ni kuwa haijawahi kupandisha nertwot ya internet kufikia H+ Ingawa sehemu niliopo kuna simu zingine zinafika H+ je tatizo ni nini?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
12:09pm IBUKA NA HASHTAG KALI KUHUSU TECNO BOOM J8 - TECNO MOBILE COMMUNITY OFFICIAL FORUM c
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari ya jioni wakuu.. Naomba mwenye kujua hiki kifaa nakipata wapi kwa Dar au Arusha naomba anijuze. Maana nakitafuta sana ila sijabahatika bado. Nitafurahi kama itakuwa ni toleo la hivi...
0 Reactions
0 Replies
679 Views
Habari wakuu naombeni msaada wenu kwa muda mrefu sasa namiliki pc ya Dell yenye pentium 4, ina processor moja na ram 256mb kwa kweli hii pc ni kimeo iko very slow.. Sasa najiuliza inawezekana...
1 Reactions
9 Replies
5K Views
natumia pc ya mda kidogo ina 32bit OS kila nikidownload netbeans 32bit inakata ku run labda pengne sijui utaalamu ila nimejaribu kichukua kwa wenzangu sijafanikiwa wana 64bit. naomben mnitumie...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau nimepata clip inayoonyesha matanzazo ya bunge kwa njia ya dish tujaribu halafu tulete mrejesho hapa
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nawezaje kufaham life span ya simi yoyote au pc. Wajomba nielimisheni nami nikaelimishe
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu nna tatizo ila sijajua lipo kwenye laptop au charger yake? Niki chomeka adapter taa yake inawaka ila kwenye laptop haionyeshi kuwa ina ingiza. Nime jaribu kutoa betri nakuchomeka direct...
0 Reactions
3 Replies
652 Views
Nime install videofx audio video maker napo taka kuanZa kurecord inaandika failed to initialize recording tatizo ni nni nnaombeni msaada wakuu
0 Reactions
0 Replies
592 Views
msaada mwenye file tajwa hapo juu naomba anisaidie nina shida nalo sana. Asanteni.
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Wakuu kwema? Nilikuwa nahangaika kuroot simu yangu C8, nimepata maelezo kutoka link flani. Unaweza kuroot bila kutumia PC na ni very simple. Fuata tu maelekezo kwenye hii link/Web address. Tecno...
0 Reactions
1 Replies
765 Views
Wana jamvi nimesahau password yangu ya Snapchat kama kuna anayeweza kunisaidia kuirudisha please anisaidie
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari ndugu wana Jf, simu yangu iphone 4s imetumbukia ndani ya maji kwa muda wa kama sekunde 5 hivi nikafanikiwa kuitoa na kwa bahati nzuri ikaendelea kupiga kazi kama kawa ila tatizo ni kwamba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habarini za muda huu wadau.. Nina shida nimekumbana nayo kuhusu upatikanaji Wa files mbalimbali nilizozihifadhi katika cloud storage. Kila nikiingia kwenye email yangu kuangalia nilichokiifadhi i...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nasikia ukibadilisha imei na kuweka za simu geniune,TCRA hawawezi kuifunga. Je ni kweli? Na je zoezi hilo linafanyikaje?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Laptop yangu ishawah kuungua kitu flan ndan nikapeleka kwa fundi akabadilisha akarudisha. Imerudi ina tatizo la mouse ina stuck. Unapowasha mara ya kwanza inafanya kazi kidogo then ina stuck mpaka...
0 Reactions
1 Replies
638 Views
Jamani wana JF naombeni mwenye Microsoft word 2013 activeted anisaidie nidownload au anaejua link ya sehemu nayoweza kudownload nitashukuru.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom