Msaada wakuu kuhusu Tecno H7

Msaada wakuu kuhusu Tecno H7

afebris

Member
Joined
Nov 17, 2015
Posts
96
Reaction score
105
Wajameni nina simu tajwa hapa juu tatizo lilioko nikiiwasha inanasa kwenye logo ya Tecno na haiendelei..
Tatizo limetokea baada ya monkeytest kuingia kwenye simu yangu...
Msaada wakuu...
 
Kwa msaada zaidi pereka TCRA watakua na mbadala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom