Naomba kufahamu kuhusu Chrome Operating System

Naomba kufahamu kuhusu Chrome Operating System

hero7

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2014
Posts
220
Reaction score
70
hbr!wakuu plz naomba kujua kuhusu chrome os na je ya operate katika any pc na then napenda jua ina support android app coz nimeona ina playstore!
 
chrome os si ndio google chrome? eka launcher ya chrome kwenye pc yako then eka runtime ya android kwenye chrome yako utalaunch app za chrome na android kupitia browser ya google chrome.

kama shida yako ni android tu tumia phoenix os ku dual boot, best android os ever kwa pc natumia kwangu ina multitasking kama windows halafu pia ni nyepesi sana incase kama laptop ni kimeo

phoenix_03.jpg


ina mpaka start button vitu vingi wamecopy toka win 7/10
 
Bdo xjakupata kuhuxu chrome os
 
Kwasababu kuna chrome book xo inamaana chrome browser ndo yafunction mle,,embu try chek video ya hyo k2 youtube
 
Kwasababu kuna chrome book xo inamaana chrome browser ndo yafunction mle,,embu try chek video ya hyo k2 youtube
yap chromebook ni kama browser tu ni kwa ajili ya watu wanaotaka laptop ya kuingia tu internet na kufanya mambo madogo ndio maana unakuta internal storage zake ni ndogo zipo za 16gb au 32gb chache zinazidi hapo.

we umeona ina nini cha zaidi ambacho huwezi fanya kwenye browser ya chrome?
 
hii ndio launcher ya chrome os kwenye google chrome ambayo unaweza kuweka hata kwenye windows

Chrome-App-launcher.png


na apps za chrome os ndio extension za browser ya chrome
 
hii ndio launcher ya chrome os kwenye google chrome ambayo unaweza kuweka hata kwenye windows

Chrome-App-launcher.png


na apps za chrome os ndio extension za browser ya chrome

Naweza nikaweka ktk pc? Mi ninayo pc yenye windows 10, je naweza weka hiyo??
 
Mkuu chief za siku kadhaa hapa nimekuta jipya ambalo nimetamani kujua vizuri maana pc yangu ni miongoni mwa hizo pc (kimeo) hahahaaa hebu naomba darasa juu ya kuweka hiyo kitu angalau ni enjoy pc yangu maana ni 32bit nimeweka window seven lkn daah ipo slow sana mkuu.
 
Mkuu chief za siku kadhaa hapa nimekuta jipya ambalo nimetamani kujua vizuri maana pc yangu ni miongoni mwa hizo pc (kimeo) hahahaaa hebu naomba darasa juu ya kuweka hiyo kitu angalau ni enjoy pc yangu maana ni 32bit nimeweka window seven lkn daah ipo slow sana mkuu.

download hapa halafu fuata maelekezo
Phoenix OS for x86 - Phoenix OS

ni rahisi sana kuinstall ila ni vyema ukiwa na partition usiieke local disk c kwa usalama zaidi japo unaweza kuieka.

yenyewe hii ni modified version ya android x86, android kwa ajili ya laptop. sasa hivi zipo mbili kuna remix os na hii phoenix os. hio remix ni nzito na inataka hardware za kisasa hivyo haifai kwenye laptop zamani ila hii phoenix wamejitahidi ni nyepesi kiasi fulani.

sema by default hutaweza root wala kuwa na playstore ila unaweza kuvieka baadae.
 
download hapa halafu fuata maelekezo
Phoenix OS for x86 - Phoenix OS

ni rahisi sana kuinstall ila ni vyema ukiwa na partition usiieke local disk c kwa usalama zaidi japo unaweza kuieka.

yenyewe hii ni modified version ya android x86, android kwa ajili ya laptop. sasa hivi zipo mbili kuna remix os na hii phoenix os. hio remix ni nzito na inataka hardware za kisasa hivyo haifai kwenye laptop zamani ila hii phoenix wamejitahidi ni nyepesi kiasi fulani.

sema by default hutaweza root wala kuwa na playstore ila unaweza kuvieka baadae.
Sawa chief una maana nikiiweka kwenye laptop naweza tumia app z android kwenye pc bila shida?
 
Shukran sana chief yaani pc imekuwa nyepesi kinomaaaa
1462877591862.jpg
 
download hapa halafu fuata maelekezo
Phoenix OS for x86 - Phoenix OS

ni rahisi sana kuinstall ila ni vyema ukiwa na partition usiieke local disk c kwa usalama zaidi japo unaweza kuieka.

yenyewe hii ni modified version ya android x86, android kwa ajili ya laptop. sasa hivi zipo mbili kuna remix os na hii phoenix os. hio remix ni nzito na inataka hardware za kisasa hivyo haifai kwenye laptop zamani ila hii phoenix wamejitahidi ni nyepesi kiasi fulani.

sema by default hutaweza root wala kuwa na playstore ila unaweza kuvieka baadae.
chief nimeipenda sana hiyo phoenix maana nijua hakuna njia nyingine zaidi ya bluestack na kwenye mdesktop wangu haukai,sasa nimedownload phoenix kwa link uliyotoa ila wakati naistall kwenye local disk c ikamaliza fresh nikazima pc then nikaiwasha nikaoption phoenix os instead of window ila ikasema kuna vitu vimefeli na ikasema pleaz wait it initialize ila ikatake long sana nikazima pc forcefully,nikaistall tena kwa flash ikamaliza ila wakati nataka nirun kwa phoenix kupitia flash baada ya kuizima ikanitaka niandike command gani sijui...........pleaz chief nielekeze slowly niweze kuinstall hii kitu very genuine even kwa screenshot possible
 
chief nimeipenda sana hiyo phoenix maana nijua hakuna njia nyingine zaidi ya bluestack na kwenye mdesktop wangu haukai,sasa nimedownload phoenix kwa link uliyotoa ila wakati naistall kwenye local disk c ikamaliza fresh nikazima pc then nikaiwasha nikaoption phoenix os instead of window ila ikasema kuna vitu vimefeli na ikasema pleaz wait it initialize ila ikatake long sana nikazima pc forcefully,nikaistall tena kwa flash ikamaliza ila wakati nataka nirun kwa phoenix kupitia flash baada ya kuizima ikanitaka niandike command gani sijui...........pleaz chief nielekeze slowly niweze kuinstall hii kitu very genuine even kwa screenshot possible
hio njia ya kwanza ulikuwa sahihi ila hukuwa na subira tu.

1. ingia na windows yako nenda local disk c kaifute hio phoenix utaiona tu kwenye folder

2. huna partition? ieke partition ambayo sio

3. install kama kawaida, zima halafu washa ikifika kwenye initialize isubirie itamaliza tu,
 
Back
Top Bottom