Wakuu naombeni mnisaidie kujua kama simu yangu ni feki au original.aina ya simu yangu ni samsung grang 2 duos.niliangalia kwa kutumia na ya TCRA *#06#ikaniletea IMEI hazifanani za nyuma ya cm...
kutoka Vodacom watoe 4G yao, naona watu wanalinganisha speeds za Halotel na 4G. mwenyewe kama mtumiaji wa Halotel bundle ya usiku, nawapenda sana, lakini kulinganisha speeds za 4G na 3G ni kitu...
Sijui ni mimi tu au.? Kwasababu halotel nikiingia ndani tu network inashuka hadi bar 2 au inabaki lakini data inakataa kabisa kufunguka. Nimesha jaribu sehemu kama 3 mikoani lakini ni hivyo hivyo.
Habari wakuu,
.Locky virus amekuwa famous mwaka huu na hadi sasa anasumbua dunia kwa ku encrypt documents na ana ambukiza kwa kupitia email.
Kuna mtu aliyepata solution, zaidi ya hunterspy4...
Kama inavyosomeka hapo juu, nimepatwa na hilo tatzo la simu ukiizima inaandika "custom binary frp lock" kwa maandishi mekundu. Mwenye ujuzi na hili naomba msaada.
Habari wakuu? Nimatumaini mko salama..
Ngoja niingie kwenye mada: wakuu jana (15/05/2016) nimenunua home theatre pale game baada ya kuvitiwa na sample iliyowekwa. Ndugu, nilivochagua hyo bidhaa...
Habari ndugu zangu wa jukwaa hili ninahitaji kufungua website kama ya kupatana,jumia,kaymu n.k kwa mwenye uwezo wa kutengeneza anitajie gharama kama anahofia hapa ani PM
naitafuta powerbank itakayoweza kupandisha chaji wakat naendelea ku surf yenye mAh 30000 na zaid. ninayo ya samsung mAh 16000 lakin naona chaj haipandi nikiwa internet surfing. iwe nzuri kwa...
Hii ni application kwa watumiaji wa samsung smartphone, ni mahususi kwa ajili ya kuangalizia kama simu yako ni original kwa maelezo zaidi na kui download Bonyeza HAPA
LET SEE HOW CREATIVE SMARPHONE USER, TUNGA HASHTAG KALI CLICK LINK CHINI HAPA KUSHINDA
IBUKA NA HASHTAG KALI KUHUSU TECNO BOOM J8 - TECNO MOBILE COMMUNITY OFFICIAL FORUM
i had a pc bahati mbaya imepatwa tatzo nahitaji motherboard mpya frm hp but muhimbili ckufanikiwa hvo naomba msaada ka kuna sehemu nyingine mjini dar es salaam
Habari wakuu..
Leo sina Habari njema sana but very Important..
Mamlaka ya Mawasiliano
nchini imetoa tamko la
kufungia simu zote feki ifikapo
tarehe 16, Juni. Je, simu yako
ni miongoni mwa simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.