Je kuroot simu kunaweza zuia usi-update android version yako?

Je kuroot simu kunaweza zuia usi-update android version yako?

Bakulutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
2,594
Reaction score
1,863
Habari la jakwaa,
Nauliza hivi kwa sababu natumia experia z2 nili root ila niki download update ya v6 ambayo ni kama mb968 inamaliza na click install ina reboot ila inafanya kama ina install kitu then inawaka inasema updates failed to update yawezekana ni rooting au ni nini? Storage space available ni kama 1.8gb yawezekana ndio tatizo?
 
kwa uelewa wangu mdogo ni kwamba ukiroot simu unakuwa umemodify operating system in unauthorised way. hivo itakubid utumie njia mbadala ya kudownload hiyo update.

wenye ujuz watakueleza kesho wakiamka
 
sim
Habari la jakwaa,
Nauliza hivi kwa sababu natumia experia z2 nili root ila niki download update ya v6 ambayo ni kama mb968 inamaliza na click install ina reboot ila inafanya kama ina install kitu then inawaka inasema updates failed to update yawezekana ni rooting au ni nini? Storage space available ni kama 1.8gb yawezekana ndio tatizo?

u nyingi ukisha Root hauwezi kufanya Over The Air(OTA) Updates kama kwa samsung hapo inakubidi kuingiza hiyo updates kwa Odin sijui hizo experia wanatumia tool gani!
 
Habari la jakwaa,
Nauliza hivi kwa sababu natumia experia z2 nili root ila niki download update ya v6 ambayo ni kama mb968 inamaliza na click install ina reboot ila inafanya kama ina install kitu then inawaka inasema updates failed to update yawezekana ni rooting au ni nini? Storage space available ni kama 1.8gb yawezekana ndio tatizo?
unroot mkuu au tumia sony flash tool kuweka manually
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom