Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Habari wakuu. Nainstall software ya pastel evolution kwenye window 8, inaniambia hakuna net frame, nadownload netframe lakini inagoma kuinstall. Msaada wenu tafadhali.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari za jioni wakuuu naomba msaada wa kujua Access Point Name APN ya Mtandao wa Airtel
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu? Mimi ninatumia HP Laptop. Hivi karibuni niliupdate kutoka Windows 8.1 kwenda Windows 10. Awali pc yangu ilikuwa ilikaa na chaji hadi masaa 6. Sasa haikai hata dakika 30. Na hata...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Wana JF naomba kujua kwa mtu ambaye kasoma computer application in certificate anaweza kusomea nn na chuo gani kipo vizuri.... Msaada tafadhar
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za muda huu Ndg wana jamii forums Kuna Ndg hapa alikuwa anatumia huawei za tigo , kaweka sim card tofauti na tigo ikawa inaomba codes_ kaingiza Mara kadhaa mpaka ikawa SIM BLOCK...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Natakuliza shukrani zangu kwenu wana body, naomba kujua kwa ambae tayari ameshatumia mtandao tajwa hapo juu speed yake ipoje? Maana nataka namm nikachukue line pamoja na mifi kwaajili ya matumizi...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Siku kama tatu zimepita kuna mtu alipost akilalamika kwamba internet ya halotel imekua nzitoo sana, mimi kwangu ulikua poa tu. Lakini na mimi tangu asubuhi nilivyounga kifurushi mtandao umekua...
2 Reactions
28 Replies
3K Views
Habari zenu wakuu hivi karibuni nimenunua techno w4 ambayo ina android 6 (marshmallow) lakin tatizo kubwa nashindwa kuiroot nimejaribu apps karibu zote za kuroot lakin imeshindikana je kuna njia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu habar zenu! Naomba kujua Nini maana ya kurestore messages unapojiunga na whatsapp.. Kiufup sijazielewa hzi options mbili Restore msg &skip
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu hope ni salama! Ninafikiri jinsi ya kupata majina ya form IV wanaomaliza kidato cha nne na kupata division four (country wide) in a yearly basis. Ninaomba kama kuna mtu ana idea au...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
I'm back baada ya kutokuwa ktk mtandao huu kwa muda mrefu sasa.. Please, uliza kuhusu blackberry nitakusaidia na kama ni urgent sana nita ku refer kwa mtindo mwingine.. Feel free and home! BBZ10
0 Reactions
4 Replies
905 Views
Nina toshiba portege M400 inagoma kuinstall windows inaonesha ujumbe wa kutoonekana kwa windows install driver. Nikaweka windows katika hard disc yake kwa kutumia laptop nyingine windows ikakubali...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana tech naomba mnisaidie kupata shelfu za chuma kama izo kwny picha au km unazo tufanye biz kdg for more help 0757663336
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habarini zenu, Baada ya ku-update ios kutoka 9.3.1 kwenda v9.3.2 ambayo imekuwa rolled out juzi,na ku-update WhatsApp kwenda v2.16.5 imekuwa ikistack na kushindwa kuendelea. Nimejaribu kutafuta...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wadau kama kichwa cha habari kinavyosema nauza pc tupu(dell precision t5500)maalum kwa ajili ya game za kisasa na inaweza kufanya editing pia...spec processor xenon 2.8mhz(4cpu)ram4gb,hdd 1t,dvd...
2 Reactions
52 Replies
8K Views
Wakuu nahitaji kuupgrade software kwenye galaxy s3
0 Reactions
0 Replies
544 Views
naomba mtu mwenye gemu za GTA v, MAX PAYNE 3, FAR CRY 4 na CRYSIS 3 za pc anijulishe nije nichukue maana kila web nayoingia kuzipakua inashindikana na nimeshindwa kwa mwenye nazo naomba msaada.
4 Reactions
20 Replies
5K Views
Salaam wakuu, Nimehamishs SD card 4Gb kutoka kwenye simu nilokuwa natumia na kuweka kwenye hii simu nilonayo sasa. But sizioni image wala links zangu zilokuwemo. Jee kuna namna ya kufanya ili...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wadau, Niko na shida kidogo ningpenda kujua jinsi ya kulipia kifurushi cha michezo pekee yake kwa startimes na gharama zake.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom