Heshima kwenu wandugu.
Kutokana na hali ilivyosasa mahitaji ya pc yamekuwa makubwa sana. Mimi ni mmoja kati ya wahitaji wakubwa wa kompyuta (PC).
Kwa kuwa nina uhitaji ila siyo mtaalam wa hivi...
Kama simu yako inatumia media tek chip mfano tecno. itel, lenovo, n.k unapata R badala ya 3g hata ukizima option ya roaming download mtk engeneering tools kule playstore then fuata hizi hatua
Naona hii mitandao inaZingua sana na matangazo yao ya 4g kama vile kila simu inasupport. Inawezekana kweli kuhamia 4g kama inavyowezekana kuhamia marshimallow?
Za masiku wakuu,
ni siku nyingi sana sijapita jukwaa hili kuanzisha mada zinazohusiana na masuala ya animation/graphics design.
Leo nimechepuka kidogo kuwasabahi wakuu wangu.
wakati mnapokea...
Msaada wakuu..simu yangu inazimika ghafla bila matarajio..angali imejaa chaji na pia situmii external memory..msaada wakuu.lg g flex 2.international model
Ni model gan ya iphone 6 ambayo ina tumika international mana naona kuna models tofaut kutegemea na nchi je model ya kimataifa ni ipi na kaa Tanzania model ina fanya kazi... Mana simu ata kama...
JINSI YA KUJUA SIMU ORIGINO NA FEKI
Kabla hujanununa simu mpya hakikisha unaandika namba hii *#06# , itaonyesha namba ya pekee (serial
number ) au IMEI (International Mobile Equipment Identity)...
VYETI ,VYETI, VYETI .....Vyeti vimeokotwa , vyeti vya FADHILI MASAWE MICHAEL kidato cha nne amemalizia shule ya secondary GG .SHULUA iliyoko box 60138.Dar es salam,
Kidato cha sita...
Now is a great time to change your LinkedIn password. You may recall the recent fallout from the company's 2012 breach, when the social network for professionals revealed that many more users had...
Tv yangu aina ya skyworth imeunganika na Dvd player...imezima ghafla nikiwasha ina-flick tu haiwaki tena.Inaweza kupona,au ndio ishakufa kma kuna fundi wa kuaminika humu j.f naomba Ani pm...
Wakuu, nilii root simu yangu na kui upgrade kutoka 4.4.2 kwenda 4.4.4 tangu nimeibadili imekuwa na tatizo LA kuchagua baadhi ya laini na kuandika invalid imei. Baadhi ya laini siwezi kupiga wala...
Wananchi Mjumbe wenu nahitaji kujua ni channel gani wanaonyesha Mpira wa copa America ktk star times nataka ni recharge ili niangalie hyo additional channel ya Soccer.
habari zenu wana jukwaa ..... naomba msaada kwa simu tajwa juu nmedondosha na touch inarespond kwa shida ............ je kuna spare zake ( like kioo chake naweza badilisha?)
Habari wakuu.
Nainstall software ya pastel evolution kwenye window 8, inaniambia hakuna net frame, nadownload netframe lakini inagoma kuinstall.
Msaada wenu tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.