Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

M-paper nadhani is the most useful app ya kusoma magazeti online kutoka Tanzania mpaka sasa. Hongereni ila naomba muongeze Na gazeti la mwananchi mtakuwa mmemaliza kabisaa.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Tafadhali na hitaji msaada, nina laptop yangu aina ya Lenovo B570e inashida ya Bios, kila napo takata ku access Bios settings, ina load hukuikisema "please wait.......", Then ina boot normaly...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wakubwa Ni muda sasa nimekua nikisikia watu wanasema kuhusu ku root cm lakini sielewi kwasabababu ni mgen katika hivi vitu hivyo jamani nlikua naomba mwenye ufahamu na hivi vitu...
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Leo katika kuhamisha vyombo nimekuta tv yangu imecrack na haioneshi kitu!! Naomba msaada wapi nitaweza replace hiki kioo na gharama zake!! Natanguliza shukrani!
0 Reactions
3 Replies
3K Views
wakuu habari yenu, ninatumia pc aina ya dell. nikisearch devices kwa wireless (wifi) device znaonekana ila niki connect wanaandika NetworkUx.ViewModel.SettingEntry. na hata setting hazifunguki...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Hii habari imendikwa kwenye gazeti la Mwananchi leo tarehe 10/04/2016. Sina uhakika ina ukweli kiasi gani, hasa mwandishi anapodai kwamba lazima IMEI kwa kila simu original ianze na 35 ndipo...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari za mida . Katika matumizi ya kawaida ya pc yangu imepatwa na shida hii ambayo mpaka sasa sijajua nini tatizo au chanzo. Kwa muda nimetumia kucheza games, kusomea na kuvinjari. Hivi sasa...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Wanajamvi habari za Leo Natumai mu wazima wa afya jamani leo naomba msaada namna ya kujiunga skype maana najaribu nashindwa Namna ya kuandika majina yanatakiwa yawe na maneno mangapi (hasa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Camera HD + Camera ya mbele, mtandao 3G, ina support whatsapp, youtube, instagram, inafungua PDF files,ina edit picture,nk . Ninunue simu gani?
0 Reactions
38 Replies
6K Views
Wana body salaaam, Leo nimeingia humu kuomba msaada Nina modem ambayo inanisumbua jinsi ya kutumia najaribu kuweka line lkn inasema sim not supported lkn ni universal anayefahamu naomba msaada
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanabodi nimenunua modern lkn imrnishinda set up zake kama kuna mtu Ana taarifa nayo naomba maarifa please,
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaa wapi naweza kubadilisha kioo cha hii tv na gharama zake... Natanguliza shukrani!!
0 Reactions
17 Replies
6K Views
Husika na Kichwa hapo Juu Mimi ni mmiliki wa website moja ya movie, katika website yangu mtu anakuwa analipia kiasi fulani kwaajili ya kuwa member katika website hiyo sasa nimekaa nikafikiria hili...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Hello wana jamvi! Naombeni msaada maana simu yangu nikiangalia IMEI then hizo namba nikizitima kwenye namba 15090 ya TCRA naambiwa ni BANDIA hivyo niibadilishe. Simu hii ni products ya TECNO...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nina simu ya Samsung s5 imekufa kioo kiasi haionyeshi kitu nadhani ni touch system yote inatakiwa kubadilishwa. So wapi nitapata kioo hicho na mafundi hasa kwa hapa DSM?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada kwa wale wanaojua jinsi ya kuchora coordinates, histograms, Na solving linear programming using a computer.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna number inaanzia na hyo code inanisumbua then nikipiga haeleweki
0 Reactions
21 Replies
31K Views
Nina tv flat LED SINGSUNG imevunjika kioo, nimetafuta kioo kingine kwa huku Mbeya imeshindikana, kwa yeyote anayeweza kunisaidia hata kwa information napataje kioo hicho ili niweze ku replace...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nina laptop HP ProBook. Herufi za mwisho mkono wa kulia na kushoto kwenye keyboard hazifanyi kazi. Hii nimesababishwa na nini?? Nisaidieni wataalamulaptop
0 Reactions
3 Replies
825 Views
Back
Top Bottom